- Thread starter
- #21
Kinachotakiwa ni mafanikio halali sio haramu maana hata mwizi huwa anawaza mafanikio.Mnawaza Siasa wenzenu wanawaza Maisha.
Mafanikio ya Kimaisha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kinachotakiwa ni mafanikio halali sio haramu maana hata mwizi huwa anawaza mafanikio.Mnawaza Siasa wenzenu wanawaza Maisha.
Mafanikio ya Kimaisha.
Hakika. Mwenyekiti ana soft spot kwa babies...Watasamehewa na watagombea tena ubunge ndani ya CDM.Siasa zetu ni hizihizi na watu ni walewale..
Kama wangekuwa na akili, walitakiwa waachane na ubunge wa CHACHANDU wakaombe msamaha Chadema. Wangeweza rudishwa tena kwa tiketi cha Chadema.Watasamehewa na watagombea tena ubunge ndani ya CDM.
Siasa zetu ni hizihizi na watu ni walewale.
Muda utaongea tu.
Mateso wanayo yapata ni heri ukahukumiwa jela miezi sitaPamoja na kuwa Ndugai kawahakikishia kuwa atawalinda lkn ukiwaangalia machoni hawana amani kabisa mioyoni mwao, kwa vile ni vigumu kwao kurudi Chadema wanatamani aidha waache ubunge wawe raia wa kawaida au wajiunge CCM.
Tatizo kubwa linalowasumbua vichwani ni kupoteza ubunge wao, kungekuwa na kanuni kwamba unaweza kuhama chama lkn ukabaki na ubunge wako siku nyingi wangeshahamia CCM na leo wakati wa Mkutano Mkuu wa CCM wa dharura wangepokewa CCM pamoja na Nyalandu.
Cdm hatupo tayari kuwarudisha nyoka ndani ya familia yetu ya wastaarabuChadema hakuna umalaya kama huo, msaliti ni msaliti tu.
Umenikumbusha maneno ya nyoodo ya Wasira eti cdm ingekufa kabla ya mwaka 2014.Lissu yupi? Hvi Lissu angehamia CCM unadhani asingekua waziri wa sheria kma kina Silinde au Waitara? Ndio aje kusettle kwa ajili ya viti maalum?
Mkuu watu wame sacrifice vitu vingi kubaki upinzani.... Hasara alizopewa Mbowe hta Sugu mpaka hoteli manusura ivunjwe ndio sembuse wajitoe ufahamu kisa kiti cha ubunge?
Tatizo lenu mnadhani CHADEMA ni kama ACT au NCCR...... Kma wangeendekeza njaa hiki chama kingeshakufa toka 2013
Hao covid inatakiwa washitakiwe kwa kufisadi fedha za umma.Hao Covid hata kama sio wote basi baadhi yao naamini kuna watakao kimbilia CCM. Samia alisema kuna wengine wanafuata baada ya Nyalandu.
Hiyo ndiyo tabia ya wasaliti hata Yuda kipindi anamsaliti yesu kristu alikuwa anawaza vipande vya fedha.Mnawaza Siasa wenzenu wanawaza Maisha.
Mafanikio ya Kimaisha.
Mbowe huwezi kumlinganisha na kiongozi yeyote wa upinzani hapa Tanzania.Ni taahira tu anaweza amini huo ugoro. Mbowe ni next level amehangaika Magufuli hadi anaenda motoni Mbowe kamuacha akiwa Chadema.
Hao watu pamoja na Ndugaye walitakiwa wawe maweni prisonIla sio ubunge ni fedha haramu wanazolipwa na Ndugai.
Ni UFISADI wa kupitiliza.
Pamoja na kuomba radhi lkn siamini kama wana cdm wapo tayari kuwasamehe hao mbwamwituKinyume chake mkuu, Mama ni muumini wa siasa shirikishi za kistaarabu na jana katamka hilo.Salama yao hao covd19 ni kuomba radhi na kumtupia lawama hayati kuwarubuni, kisha maisha yanasonga nyumbani CDM.
Hakuna kiongozi wa cdm mwenye kujitambua anaweza akaunga mkono kiti cha sheitwaniKwani mimi nimekataa mkuu,nachosemea hiyo opportunity ingekua na kwa wanaume kwa hizi siasa za kiafrika,aibu tungeona mimi na wewe mkuu
Tayari Wapo Ccm MudaKwani wao wenyewe wanasemaje?