bright platnumz
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 2,740
- 3,659
mkuu umexahau mengine ngoja mi nitoe remix...kabla ya Rick Ross. Diamond Ali ongea na yuda kidogo akamwambia hathari za usariti zkoje nd baadae mengne yaka fuata
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahaa we jamaa huwa unanifurahisha sanaMazungumzo aliyofanya Diamond na Rickross kwa zaidi ya saa moja yalizaa matunda na Diamond kukubali mtoto,ilibidi Rickross atumie nguvu za ziada kumbembeleza rafiki yake huyo mkubwa faida na hasara za kukataa watoto nakumuomba kama itatokea Diamond kuhitaji msaada basi asiache kumcheki.
Baada ya mazungumzo hayo Rickross alimpigia simu Mobeto nakumwambia awe na amani ameishamliza kusort out mambo kabla ya kumpigia simu Zari kumuandaa kisaikolojia.
Chanzo kimenyetisha
Mbuzi mwenyewe amekataa kambaMkuu hii kamba ya kufungia mbuzi
hakika chai tena ya rangiChai hii
labda iwe hiviLe mutuz ndio Rick Ross
au atakuwa yule baunsa lake ndo jamaa kadhani domo yupo na Rick Ross,Le mutuz kawa Rickross?
Mazungumzo aliyofanya Diamond na Rickross kwa zaidi ya saa moja yalizaa matunda na Diamond kukubali mtoto,ilibidi Rickross atumie nguvu za ziada kumbembeleza rafiki yake huyo mkubwa faida na hasara za kukataa watoto nakumuomba kama itatokea Diamond kuhitaji msaada basi asiache kumcheki.
Baada ya mazungumzo hayo Rickross alimpigia simu Mobeto nakumwambia awe na amani ameishamliza kusort out mambo kabla ya kumpigia simu Zari kumuandaa kisaikolojia.
Chanzo kimenyetisha