MaxShimba
JF-Expert Member
- Apr 11, 2008
- 35,772
- 4,054
Kupitia Leo Tena ya Clouds Fm leo kuna ripoti iliyotolewa na mashuhuda kwamba huko Temeke hospitali Dar es salaam leo kuna mwanamke mke wa mtu ambae amefikishwa hospitalini huku mwili wake ukiwa umegandana na mwanaume aliefumaniwa nae. Bado Gea Habib anaendelea kufatilia kwa Mganga mkuu pamoja na vyanzo vingine lakini kwa sasa unaweza kuwasikiliza baadhi ya mashuhuda hapo chini.
Play
http://soundcloud.com/millard-ayo/www-millardayo-com-nov8-tmk
Play
0.00 / 1.10
http://soundcloud.com/millard-ayo/www-millardayo-com-nov8-tmk