Yule lazima a panic.
Kwenye Kura za maoni alikua namba tatu, yaani hata CCM wenzake hawamkubali.
Aligombea ubunge na Bwege, yule Hana ubavu wa kumshinda Bwege.
Inamaana alibebwa tangia Kura za maoni.
Kwa kubebwa kule lazima nafsi ilikua inamsuta kwamba. ' sikubaliki popote halafu leo nakua waziri kwa kuwapoka Wana Lindi haki yao' lazima a panic.
Kwenye Kura za maoni alikua namba tatu, yaani hata CCM wenzake hawamkubali.
Aligombea ubunge na Bwege, yule Hana ubavu wa kumshinda Bwege.
Inamaana alibebwa tangia Kura za maoni.
Kwa kubebwa kule lazima nafsi ilikua inamsuta kwamba. ' sikubaliki popote halafu leo nakua waziri kwa kuwapoka Wana Lindi haki yao' lazima a panic.