ni htr kasoroboSasa hapa mkuu nani atasalimika mbona kuna sehemu mimi nedumbukia tayari.
Mwanaume hujui majukumu yako!?Ukweli kabisa huu, sasa nini kifanyike wakuu
aloo itabidi boys tukaeni kikao cha 18 bunge la 22Ukweli kabisa huu, sasa nini kifanyike wakuu
Tena kumekucha kweliKumekuchaaaaaah
Wanamtembeza hovyo sehemu ambazo sio muhimu kwa cheo chake sijui wana jambo lao wanataka kulitimiza!!!Nasikia mama Samia kaibukia kariokee leo
hahahah oya mjuba paypal 5364416673620867 nikale vitodi vya kutosha na superstaaAsee una PayPal nikutumie chochote kitu?
respect bloodMchangiaji umetufumbua macho katika baadhi ya vitu au tabia za wapenzi wetu, ambazo huwa tunazichukulia kawaida kumbe zimebeba ujumbe mkubwa sana. Hongera Sana brother.
Sent from my CPH1969 using JamiiForums mobile app
Mimi nilikua na viashiria ila napambana badoDaah nimejoina mimi tayari
Jamaa mmoja anaitwa Toxic Fuvu hiyo dalili kamaliza kila kituKuna wimbo unaitwa DALILI sijui kaimba nani ukiusikiliza nadhani unaamisha hayo yote hapo
pambana mzeiyaDaah nimejiona mimi tayari
koomaa uchomokeWallah hapa nazungumziwa mimi
alooo mtokee huyo iyo jauMimi nilikua na viashiria ila napambana bado