KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,578
- 8,600
Ishahuri serikali iliyopo madarakani ianze mimkakati mapema ya kuwaadabisha wafanyabiashara ya mafuta kabla nchi hii aijaangamia kwa kuporomoka kwa uchumi na shughuli za uzalishaji kusimama!JK sema tamko bila kujali kama ni maswahiba wa CCM NCHI IPO MAHALI PABAYA.