Is this the new way of colonialism in Tanzania?

Deng Xiaoping would say this is "Open Door Policy"

Tatizo si kwamba investors wanakuja, labda uniambie management ya investors vis a vis corruption.

Lakini kama serikali inaweka mikataba mizuri, mbona hata wafanyakazi wa Afrika wataongeza GDP zao na ya nchi.

Mimi sina tatizo fundamentally na investment, we actually need more of it.Tatizo langu ni management tu.
 
Kiranga,

Umeicheki video mpaka mwisho?Je umeona watu walivyofukuzwa kwenye mashamba yao?
 
Kuwafukuza bila dignity noma, hata under sheria za "eminent domain" ambazo kwazo serikali ina assert ownership ya ardhi, basically saying wananchi wana lease tu ardhi kutoka serikalini, na kama kuna issue inahusu national interest (serikali inataka kujenga barabara, H.E.P etc) basi sheria zifuatwe, watu wapewe ample time na compensation na mambo ya utamaduni na mazingira (kama si mazingara) yapewe umuhimu wake.

Swali langu,

Kama tuna ardhi kubwa sana, kwa nini serikali isiwape investors sehemu ambazo hazina watu tayari?
 
Concord,
Hii ndio tunaita faida ya citizen journalism na asante kwa habari hii ili ijadiliwe hapa JF.
.
Video clip kuanzia 3:48 mpaka 6:38 inaonyesha jinsi Wananchi wa Eneo la Namawala, Kilombero Tanzania, walivyotimuliwa na serikali yao kupisha wawekezaji wapate eneo la hectari 10,000.

Kutokana na maguvu ya serikali yao, Wakazi imebidi wakimbie mashamba yao, shule nzuri ya watoto kwa ajili ya watoto 200 kuwa gofu, wana kijiji wamefungua kesi mahakamani hakuna mwakilishi wa serikali wala wawekezaji wanaotokea mahakamani kujibu madai ya wana kijiji!

Huu ni ukabaila na sio uwekezaji, maana haki za wananchi hazizingatiwi, sijui kama Mh. Mkuu wa Mkoa wa Morogoro anaweza kuzuka ktk maeneo haya kama ilivyokuwa ktk mafuriko huko Kilosa, kutafuta kiini cha wana kijiji kunyanyaswa?
 
Waige mambo ya wale wananchi wa hanang, that is the only language leaders understand
 
dammit... hii imenikera vile sirikali, badala ya kunufaisha wananchi, inawatimua majumbani na mashuleni mwao... fvcked up!

* Huu ni ukoloni ambao unasaidiwa na serikali zetu barani... kweli, kinachoudhi sana ni vile walivosema walimaji wapya hata hawatakuwa chini ya sheria za kibiashara... yaani wataweza kuuza chakula ng'ambo na kuwanyima wenyeji wenye njaa ... huu upuuzi gani basi??? ... hata sijasikia sheria ya kulazimisha kuajiri wananchi... viongozi wetu wanakuwa ka mtoto mdogo anaeambiwa auze dhahabu kwa shilingi mia moja kwa vile hajui thamani zake... pia, kweli, wanatenda ujangiri kuwafukuza wananchi majumbani mwao bila hata ya kuwapa nyumba na sehemu mpya ya kuishi... WHY SUCH CRUELTY TO YOUR OWN PEOPLE SIRIKALI??? yaani kweli hamjui yale majumba ya matofali ni utajiri wao?????????????? mmesahau maisha ya vijijini ????????

** colonism ni kuwanyang'anya wenyeji bila kuwanufaisha... huu ni ukoloni kabisaaa
 
Haya ndiyo yaliyotokea kule Loliondo na kama Watanzania hatukuwa makini kuhusu kulipinga hili basi matukio kama haya yatakuwa mengi sana sehemu mbali mbali nchini. Pamoja na kuwakaribisha "wawekezaji" lakini ukaribishwaji huo ni lazima uhakikishe wenye ardhi nao wananeemeka labda kwa kuwa partners kwenye miradi hiyo kama ni kilimo, uwindaji au uchimbaji madini na pia kupata ajira, vinginevyo kutakuwa na maafa makubwa sana.
 
uwekezaji haujawai leta maendeleo popote pale duniani, nchi inaweza kuendelea pekee kama njia kuu za uchumi ziko chini ya serikali, haiti walileta wawekezaji kila idara toka miaka ya 50's, zimbabwe hadi walisifiwa na inayojiita jumuia ya kimataifa kua ni mfano wa kuigwa na nchi za africa, wako wapi sasa? taifa linalokua halina manufacturing industry na likaendelea halijawai toka labda nchi za kiafrika za sasa ivi ndio zilete uo muujiza, andalia izo tiger economies zote zina strong manufacturing industry, brazil,malyasia,singapore,korea,argentina,india etc
wawekezaji wanaitajika ktk joint venture tu na si kuendesha completely na izo tiger economies wawekezaji wamekuja ktk form ya joint venture tu!
 
Back
Top Bottom