is this supose to be funny?

Nyamuleha jr

Senior Member
Feb 20, 2013
185
65
ArabsWithBadEyes.jpg
 
Haahahahha...yaani kuna watu wanachekesha humu yaani moja kwa moja tu wamefkiri hao watu ni wa imani fulani....amkeni hivo ni vivazi tu arabs wavaa haimanishi imani zao...:p:p:p:p:p:p;););)
 
wanajifanyaga wenye misimamo sana, wako wapi sasa

Yaani unafikiri imani ya mtu utaondoka kwa kuona? Wao wameona kwa vile kimepitishwa na unafikiri ujinga wa mtu ukupatishe tabu? Kwani ukiangalia kinyesi njiani unakuwa umekichezea na kuchafuka?
 
Yaani unafikiri imani ya mtu utaondoka kwa kuona? Wao wameona kwa vile kimepitishwa na unafikiri ujinga wa mtu ukupatishe tabu? Kwani ukiangalia kinyesi njiani unakuwa umekichezea na kuchafuka?
unajitetea tu mkuu ila kama nawe ni mmoja wa hao polee
 
bora wewe umekuwa mkweli, wenzio wanajifanyaga wao ni malaika, kumbe watupu tu kama debe tupu
Msimamo ni katika taratibu za dini lakini ubinadamu unabakia pale pale,wao ni wanadamu wana hisia kama wengine na macho yao hayabagui.
 
Duh, nimerud bibie, vp hatutukanani tena? maana kale kaBAN ulikonitengenezea kamenisaidia sana kumalizia vitest vyangu. Nichokoze kidogo basiiii, ila round hii usije kwa PM, 'tumalizane' hapahapa!!

Wewe uliyekuja kwenye pm ukanitukana halafu saa hizi unajidai "usije kwa pm". Ukitukana tu, nna report abuse.

Dawa yenu ndogo sana, ni hii hapa:
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom