Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,893
- 16,317
Good afternoon JamiiForums
Kwani kuna tofauti gani kati ya uvaaji wa mke wa "Mamadou Sakho" na mbunge "Condester Michael"?
Mimi binafsi ninafikiri spika Job Ndugai alikuwa sahihi sana kumtoa dada yangu mbunge Condester Michael kwa maana yeye amefanya maamuzi kwa kufuata muongozo wa sheria za kibunge kuhusiana na mavazi na siyo utashi wake binafsi.
Kama wabunge/wafuasi wa vyama vya siasa wanatafuta wa kumshambulia basi wazishambulie ama waombe mabadiliko ya sheria za bunge zinazohusiana na mavazi na sio kumlalamikia mzee Job Ndugai personally.
Ina maana watu wanataka kusema kwamba bungeni ni pahala patukufu sana kuzidi Ikulu? Mbona mke wa mchezaji Mamadou Sakho alivaa nguo zinazofanana na mbunge Condester Michael na bado maofisa wa Ikulu wakamruhusu kuingi pahala pale patukufu na watu hawakupiga kelele?
Ifike wakati watanzania tujifunze kusimami kanuni/sheria tulizozianzisha sisi wenyewe na sio kufanya "witchhunting" wakati wachawi ni sisi wenyewe tuliopitisha kanuni hizo. TII SHERIA BILA SHURTI.
USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Kwani kuna tofauti gani kati ya uvaaji wa mke wa "Mamadou Sakho" na mbunge "Condester Michael"?
Mimi binafsi ninafikiri spika Job Ndugai alikuwa sahihi sana kumtoa dada yangu mbunge Condester Michael kwa maana yeye amefanya maamuzi kwa kufuata muongozo wa sheria za kibunge kuhusiana na mavazi na siyo utashi wake binafsi.
Kama wabunge/wafuasi wa vyama vya siasa wanatafuta wa kumshambulia basi wazishambulie ama waombe mabadiliko ya sheria za bunge zinazohusiana na mavazi na sio kumlalamikia mzee Job Ndugai personally.
Ina maana watu wanataka kusema kwamba bungeni ni pahala patukufu sana kuzidi Ikulu? Mbona mke wa mchezaji Mamadou Sakho alivaa nguo zinazofanana na mbunge Condester Michael na bado maofisa wa Ikulu wakamruhusu kuingi pahala pale patukufu na watu hawakupiga kelele?
Ifike wakati watanzania tujifunze kusimami kanuni/sheria tulizozianzisha sisi wenyewe na sio kufanya "witchhunting" wakati wachawi ni sisi wenyewe tuliopitisha kanuni hizo. TII SHERIA BILA SHURTI.
USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.