Mnyamahodzo
JF-Expert Member
- May 23, 2008
- 1,932
- 985
Wote wanahusika na usalama wa watanzania kwa namna moja au nyingine.
Noel Paul Jenga (33)=>kaijipiga risasi moja kichwani , akiwa chumba cha kutunzia silaha cha TANZANIA POLICE ACADEMY, Dares salaam.
"Katika taarifa hiyo iliyoandikwa saa 12.45 asubuhi, Konstebo Noel Jenga, alisema kuwa ameamua kujiua mwenyewe kwa hiyari yake bila ya kulazimishwa na mtu yoyote na ameomba asisumbuliwe mtu yeyote kutokana na tukio hilo. Kabla ya kutimiza kusudio lake, marehemu aliwapigia simu baadhi ya ndugu zake kuwaaga, akazima simu, akaweka mtutu wa bunduki mdomoni kisha akajifyatulia risasi." SACP Alice Mapunda
WP Suzanna (22) => kajipiga risasi nne upande wa kushoto kifuani, akiwa nimahabusu katika kituo cha Tarime,"PC SUZANA alijiua baada ya kuamuriwa kurudi kituo cha kazi kufuatia kupotea kwa msafara wa Rais." Kaimu Msemaji wa jeshi la Polisi, ADVERA SENSO.
Mashauri (24)=> kajipiga risasi mbili chini ya kidevu, akiwa eneo la Ikulu ya Mkoa wa iringa (Gangilonga), kisa "wivu wa mapenzi baina yake na askari mwenzake" Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Iringa, Evarist Mangalla
Mzee Mnyeti (32)=> kajipiga risasi nyumbani kwake kijitonyama. "Ni kweli mwili wake ulikutwa saa 8:45 ukiwa chumbani mwake, baada ya watu kubomoa mlango," Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Kinondoni, Elias Kalinga
Hivi vifo vinanipa maswali mengi sana.
1. Kwanini vijana(angalia umri) hawa wafe?
2. Ni kwanini wafe sasa katika mwaka wa uchaguzi katika kipindi kisichozidi miezi mitatu?
3. Kwanini maelezo yanayotolewa baada ya vifo vyao hayaonyeshi kuwa wanajiua ila ni kama kuna mauaji yanafanywa lakini ukweli wataka kufichwa?
4. Nini matokeo ya uchunguzi wa Tume alizounda IGP Saidi Mwema?
5. Kama ni serial killing, nani anaendesha mauaji haya?
Noel Paul Jenga (33)=>kaijipiga risasi moja kichwani , akiwa chumba cha kutunzia silaha cha TANZANIA POLICE ACADEMY, Dares salaam.
"Katika taarifa hiyo iliyoandikwa saa 12.45 asubuhi, Konstebo Noel Jenga, alisema kuwa ameamua kujiua mwenyewe kwa hiyari yake bila ya kulazimishwa na mtu yoyote na ameomba asisumbuliwe mtu yeyote kutokana na tukio hilo. Kabla ya kutimiza kusudio lake, marehemu aliwapigia simu baadhi ya ndugu zake kuwaaga, akazima simu, akaweka mtutu wa bunduki mdomoni kisha akajifyatulia risasi." SACP Alice Mapunda
WP Suzanna (22) => kajipiga risasi nne upande wa kushoto kifuani, akiwa nimahabusu katika kituo cha Tarime,"PC SUZANA alijiua baada ya kuamuriwa kurudi kituo cha kazi kufuatia kupotea kwa msafara wa Rais." Kaimu Msemaji wa jeshi la Polisi, ADVERA SENSO.
Mashauri (24)=> kajipiga risasi mbili chini ya kidevu, akiwa eneo la Ikulu ya Mkoa wa iringa (Gangilonga), kisa "wivu wa mapenzi baina yake na askari mwenzake" Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Iringa, Evarist Mangalla
Mzee Mnyeti (32)=> kajipiga risasi nyumbani kwake kijitonyama. "Ni kweli mwili wake ulikutwa saa 8:45 ukiwa chumbani mwake, baada ya watu kubomoa mlango," Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Kinondoni, Elias Kalinga
Hivi vifo vinanipa maswali mengi sana.
1. Kwanini vijana(angalia umri) hawa wafe?
2. Ni kwanini wafe sasa katika mwaka wa uchaguzi katika kipindi kisichozidi miezi mitatu?
3. Kwanini maelezo yanayotolewa baada ya vifo vyao hayaonyeshi kuwa wanajiua ila ni kama kuna mauaji yanafanywa lakini ukweli wataka kufichwa?
4. Nini matokeo ya uchunguzi wa Tume alizounda IGP Saidi Mwema?
5. Kama ni serial killing, nani anaendesha mauaji haya?