Uda
JF-Expert Member
- Nov 27, 2010
- 811
- 624
Leo nimezunguka ATM zote za mjini Arusha na card yangu ya crdb lakini nimeshindwa kutoa fedha.machine ziko connected lakini ukikamilisha process ya withdraw unaambiwa "huwezi kuwasiliana na bank yako" hii imetokea hata pale nilipoamua kutumia kadi yangu ya crdb kwa ATM za bank nyingine.inaonekana kama kuna kirusi vile kimeingilia system ya CRDB.najiuliza isije ikawa ni moja ya uharamia wa kimtandao 'cyber attack'
kwa wataalamu wa mambo haya mnaweza kutuelezea kidogo!
Nawasilisha...
kwa wataalamu wa mambo haya mnaweza kutuelezea kidogo!
Nawasilisha...