Sumba-Wanga
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 5,349
- 1,224
Wa JF! Nimekuwa najiuliza watanzania tuna nini? What do we miss that our countries have. Just look at Rwanda and Uganda. they have fought civil wars, but look at their economies! We are proud of been Island of peace.
Ni kitu gani tunachokitanya vizuri? Angalia maisha ya watu! Umaskini ni rampant despite ahadi hewa za maisha bora kwa watu. Agalia elimu yetu, ndio hata huwezi kusema lolote, ni masikitiko matupu! Shule za kata zimekuwa disaster (sitaki kuongelea yale ua UDOM).
Watanzania! Angalia Richmond, Songa gas! unaweza kuamini kuwa kuna watu wana guts za kumwaga maji ya Mtera, kutengeneza mgao ili ku justify ununuzi wa mitambo ya Dowans! ikifika hapo nachoka kabisa! Mgao unapowabana watanzania, tunaambiwa ni kosa la wanasheria wa serikali/TANESCO kutafsiri vifungu vya sheria ndio chanzo cha machungu ya watanzania!!!
Hapo bado EPA, Kagoda na mengine! mbaya zaidi ni kuwafunga watu wadogo kwenye EPA wakati vigogo wapo, kwa kweli, people are not interested in these day light robbery, wamechoka! Kila kitu ni kiini macho!
Tunajifunza nini kwenye chaguzi zilizopita? wananchoiwamekwenda kulinda kura, wanajua kuwa haka yao itapokwa. Juzi juzi watu wamevamia mgodi wa North Mara, wakijua kabisa kuwa polisi wana live bullets! Are we still blind? Swala na issue sio kwenda kule kulinda maiti zisizikwe, bali kuangalia swala hili kwa undani zaidi! Picha nzima inatuambia nini? watanzania wamechoka kuona mali zao zinaporwa, in day light!
Kwa miaka mingi wakenya wamekuwa wanatumia mlima Kilimanjaro kwa faida yao! What are we doing? nothing, just clapping maisha bora kwa kila mtanzania, wao wanakusanya pesa na uchumi wao unakuwa! Sisi tumekalia siasa!
Angalia kwa babu wa Loliondo! More than 75% of the visitors are Kenyans, na mbaya zaidi wanaingia nchini kwetu watakavyo! wale waliowahi kwenda kenya wanakuliana na mimi kuwa kama babu angekuwa nchini kwao, sidhani kama sisi tungeweza kujazana kwako kiasi hicho! Polisi wao wangetunyanyasa sana!
Mpira! Hata huo tunashindwa? DRC wanafunga tikmu yetu ya taifa, wakati wao nchi yao ina vita, sisi ni wazee wa amani! Hata organization ya football in a peaceful country is not possible!
Look at the altitude of Tanzanians! watu hatupendi kufanya kazi, tunapenda njia za mikato, mission town and the like! Siku hizi ni sifa kuibia serikali, kujenga majumba na mengine. wazee wa zamani waliofanya kazi kwa uadilifu wako wapi? angalia yaliyompata Mh Shelukindo, mtu aliyewahi kupewa tuzo la ufanyakazi wa uliotukuka! Yaliyompata na mizengwe yote, yako wazi!
wakulima! Nao wamejifunza jinsi ya kuishi kwenye hii system. nao wamekuwa waongo, ukizubaa tu umeuziwa mazao pungufu kuliko unayolipia! wao
Itokee bahati mbaya upate ajali huko njiani! Utaziona hasira za watanzania watakavyokushughulikia! Utawalaumu? wao hawana mgao na maisha yao yamesimama, kila kitu bai juu (sukari, petrol sabuni na mengine)
Jamani tunakwenda wapi? tunawafundisha nini watoto wetu?
Ni kitu gani tunachokitanya vizuri? Angalia maisha ya watu! Umaskini ni rampant despite ahadi hewa za maisha bora kwa watu. Agalia elimu yetu, ndio hata huwezi kusema lolote, ni masikitiko matupu! Shule za kata zimekuwa disaster (sitaki kuongelea yale ua UDOM).
Watanzania! Angalia Richmond, Songa gas! unaweza kuamini kuwa kuna watu wana guts za kumwaga maji ya Mtera, kutengeneza mgao ili ku justify ununuzi wa mitambo ya Dowans! ikifika hapo nachoka kabisa! Mgao unapowabana watanzania, tunaambiwa ni kosa la wanasheria wa serikali/TANESCO kutafsiri vifungu vya sheria ndio chanzo cha machungu ya watanzania!!!
Hapo bado EPA, Kagoda na mengine! mbaya zaidi ni kuwafunga watu wadogo kwenye EPA wakati vigogo wapo, kwa kweli, people are not interested in these day light robbery, wamechoka! Kila kitu ni kiini macho!
Tunajifunza nini kwenye chaguzi zilizopita? wananchoiwamekwenda kulinda kura, wanajua kuwa haka yao itapokwa. Juzi juzi watu wamevamia mgodi wa North Mara, wakijua kabisa kuwa polisi wana live bullets! Are we still blind? Swala na issue sio kwenda kule kulinda maiti zisizikwe, bali kuangalia swala hili kwa undani zaidi! Picha nzima inatuambia nini? watanzania wamechoka kuona mali zao zinaporwa, in day light!
Kwa miaka mingi wakenya wamekuwa wanatumia mlima Kilimanjaro kwa faida yao! What are we doing? nothing, just clapping maisha bora kwa kila mtanzania, wao wanakusanya pesa na uchumi wao unakuwa! Sisi tumekalia siasa!
Angalia kwa babu wa Loliondo! More than 75% of the visitors are Kenyans, na mbaya zaidi wanaingia nchini kwetu watakavyo! wale waliowahi kwenda kenya wanakuliana na mimi kuwa kama babu angekuwa nchini kwao, sidhani kama sisi tungeweza kujazana kwako kiasi hicho! Polisi wao wangetunyanyasa sana!
Mpira! Hata huo tunashindwa? DRC wanafunga tikmu yetu ya taifa, wakati wao nchi yao ina vita, sisi ni wazee wa amani! Hata organization ya football in a peaceful country is not possible!
Look at the altitude of Tanzanians! watu hatupendi kufanya kazi, tunapenda njia za mikato, mission town and the like! Siku hizi ni sifa kuibia serikali, kujenga majumba na mengine. wazee wa zamani waliofanya kazi kwa uadilifu wako wapi? angalia yaliyompata Mh Shelukindo, mtu aliyewahi kupewa tuzo la ufanyakazi wa uliotukuka! Yaliyompata na mizengwe yote, yako wazi!
wakulima! Nao wamejifunza jinsi ya kuishi kwenye hii system. nao wamekuwa waongo, ukizubaa tu umeuziwa mazao pungufu kuliko unayolipia! wao
Itokee bahati mbaya upate ajali huko njiani! Utaziona hasira za watanzania watakavyokushughulikia! Utawalaumu? wao hawana mgao na maisha yao yamesimama, kila kitu bai juu (sukari, petrol sabuni na mengine)
Jamani tunakwenda wapi? tunawafundisha nini watoto wetu?