Is there no knowledge and experience above him that can control him?

Uvivu upo Mkuu lakini kinachowakimbiza watu ni wivu, wizi, uchawi na fitna za nyumbani. Hizo tabia hazijaletwa na Magufuli bali wananchi wenzetu ndiyo maana nasema tamaduni na tabia za kitanzania zinachochea umaskini kuliko maendeleo.
licha ya hayo yote mkuu mim naona bado nchi zetu miundombinu ya kufanikiwa ni migumu sana kuliko wenzetu angalia tu hata kodi wanavyotoza kubwa haiendani na bishara ya mtu anayofanya bado na gharama nyingine za maisha ataweza kweli kupambania biashara yake hapohapo bado tena uhudumie watoto shule unadhani usipojiongeza hata biashara za gizani utafanikishaje? lakini watu wengi waliokuwa nje hawawezi ona sababu waviwakuti moja kwa moja
 
Korosho is not a problem that confronted us, it is a problem of our own making
Semantics. Whether it was created by us or whoever, it's still a problem that confronts us and needs to be solved by us. What difference does it make?
 
The difference is big.
If you shoot at your own leg and cry for help- you look stupid.
If somebody shoot at you then thats a different problem.

The decisions made over those nuts bring us big liability, destroying capital, business relationships and trust.

The one that created them problems doesn't deserve to look like a hero while solving them
Semantics. Whether it was created by us or whoever, it's still a problem that confronts us and needs to be solved by us. What difference does it make?
 
17 Reactions
Reply
Back
Top Bottom