unaweza kutuma tu. ila huwezi pokea hela. na kama ukinunua kitu online kupita paypal halfu ukagairi paypal watakurudishia hela lla hutazikuta kwenye account yako.
Tanzania mpaka sasa unaweza kutuma peke yake huwezi kupokea..... kuna watu walikuwa wanatumia njia za kufungua account nchi nyingine ili ionekane kana kwamba kwamba wanatokea huko na kutomia proxy servers ili IP address yao ionekane kwamba hawapo kwenye nchi hiyo hata hivyo paypal waliziba hiyo loophole...... I had my paypal account nilivyokuwa UK nilivyokuja Bongo kuifungua hapa account ikafungwa sababu ilionyesha kuna some illegality. Option ni kutumia other options kama moneybookers au alertpay
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.