Is President Magufuli an isolationist?

First off, just for your information, there hasn't been any scheduled SADC meeting over the past few weeks. The president of South Africa recently called a meeting with his immediate neighbors. Are you saying that all SADC presidents attended this meeting except the president of Tanzania?

Secondly, was the EAC meeting you are talking about here a scheduled one? Was the president of Tanzania invited? Do you know the agenda items? Are the agenda items relevant to Tanzania? If not, why bother?

Lastly, I would advise you to check your facts before posting. Or better close your ***

In emergency situations you don’t really need scheduling that much.
 
Jumuiya za nini kama hamshauriani pamoja?
Hata kama hamkubaliani katika kila maamuzi,vikao vya pamoja ni muhimu sana kwa uhai wa jumuiya.
 
Word on the street is JPM is on vacay. President's need to chill out too, after weeks and months of prepping speeches and barking orders.
 
Kuamua kufunga au kutofunga nchi ni suala la nchi binafsi lakini ni muhimu ushauriane na wenzako jinsi gani mtaratibu movements za watu na bidhaa kati ya nchi na nchi.
Hata The Towel guy alipojifanyisha anaumwa Corona alirudi kuwaomba fans wake Wa Nigeria msamaha na wakamsamehe kwa shingo upande,angeweza kukaa kimya tu.
Hiyo mikutano sidhani kama ina chochote cha maana zaidi ya porojo tu.

Kwa mfano huyo babu Kizee museven, kuna lolote anaweza kushauri ambalo ni watertight?

Nafikiri machaguo yote tayari yapo mezani. Kufunga nchi ama kutokufunga nchi. Hakuna mjadala.

Magufuli ameshachagua kutokufunga nchi. Amemaanisha na hatetereki msimamo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
... lile swali la mzungu kule Uganda kipindi kile lilim-put off completely! Since then confidence ilianza kupotea taratibu to its lowest level recently! Wanasaikolojia mtuambie.
😂😂😂😂 Lile swali Yan Dah, lilifanya Mtu aone manyotanyota, Kichwa kikapiga kengele za hatari na kuzizima 💤💤💤😀
 
Ngabu, huyu jamaa mbona hata mijadala katika kiswahili ni shida? Ndio maana lazima achanganye mambo ya hovyo kama ngono ili kulazimisha kucheka kupoteza malengo.
Uwezo wa kujieleza kiweledi hana kabisa katika lugha zote, najiuliza kawa waziri karibia miaka 20 inamaana walikuwa hawamjui?

Sent using Jamii Forums mobile app
Umesema ukweli kabisa. The guy is just useless in discussion or debait, no matter what language he is using. Nadhani hata kwa kisukuma atakuwa anatoa OP tu. Halafu ''humour'' zake anazojaribu kuweka kwenye hotuba au maongezi yake ni za kishamba kweli kweli. Zimejaa sexism na matusi ya kimbugwe-mbugwe tu.
 
Back
Top Bottom