Mfiaukweli
JF-Expert Member
- Aug 30, 2018
- 5,636
- 8,774
Wengi hamuijui EAC.JIpeni nafasi ya kusoma au hata kusikiliza hali ay EAC. Ukitaka kujua kwa nini TZ inasita ktk maamuzi ya EAC, jiulize mwenyewe kwa nini TZ hiyo hiyo inaongoza vizuri ndani ya SADAC!
Eti "inaongoza vizuri"! Don't make me laugh. But you may be right kuwa inaongoza vizuri "SADAC" lakini sio SADC. Mkataba wa EAC ni sawa na wa SADC? Unalinganisha mtu anaecheza golf na yule wa football?