Is MJ New Nyerere? Wow

Kamundu

Platinum Member
Nov 22, 2006
6,598
8,738
[media]http://mwanakijiji.podomatic.com/enclosure/2007-10-23T22_12_36-07_00.MP3[/media]
 
Ni kweli kabisa MKJJ...............uongozi unatakiwa uwe ni WITO na sio mradi wa mtu kama ilivyo sasa
 
Sikubaliani na swala fedha sio source ya maendeleo kwa nchi zinazoendelea.
Vitu vitatu muhimu kwenye nchi zinazoendela ni Mtaji, wabunifu(entrepreneur), and work force. Azimio la Arusha ni source ya umasikini wetu wa leo, mwalim mwenyewe alishwa kulidefend hilo. Adhabu ya kutoheshimu private property ndio imetutafuna Tanzania mpaka leo.
Pesa is a source of maendeleo any where in the world, however kama ikitumika kishenzi then inaweza kuwa source of evil. Lakini katika karne hii huwezi kufanya chochote pasipo fedha.

Ubepari is the way of life, if it will be performed under rules and regulation of ubepari. Ubepari increase choices to people, ubepari make easy for any body to somebody
Some of the critics from the audio clip zinafavor maisha ya karne za enzi za mawe, however some of the opinions are make a lot of sense in Tanzania of today.

Review the Wealth of Nation by Adam Smith.I believe kuanza kutafuta nani kapata wapi pesa ndani ya serikali ilishashindikana kipindi cha Mkapa. Kingine ni vigumu sana kutrack source za utajiri ndani ya Tanzania kutokana na nature ya nchi.Hii ni kuangizia kwa kina Sumae mpaka kwa Mengi. Tanzania needs to close loop holes za rushwa, that is the main agenda. "Ukishangaa ya musa utaona ya firauni" ni fasihi sahihi kabisa ndani ya Tanzania, wafanyakazi wa kawaida tuu wanamamilioni ya shillingi kutokana na rushwa.

Ni imani yangu kwamba, kabla ya kutibu ugonjwa ni bora ukajua ni nini chanzo cha ugonjwa huo. Tanzania people tunaitaji kujiuliza nini chanzo cha uongozi mbovu ndani ya nnchi. Kama wananchi hatuko tayari kuamka kwa mabadiliko, then hakuna maana ya kulilia mabadiliko. Kama wananchi ndio mstari wa mbele kuwaongo police barabarani, then unategemea nini kutoka kwa waziri?

Nathani ni muda wa kubadilisha strategy, kwani strategy zilizo kuwepo kipindi cha Mwalim haziwezi kufanya kazi katika karne hii. Ni muda wa sisi wananchi kuwa mfano, na kuwa responsible na maamuzi yetu, na kuacha kulaamu viongozi ambao tuliwapitisha madarakani kwa asilimia 80. Wazungu wanasema "you get what you paid for", na waswahili tunasema "Mchuma janga hula na nduguze".

Kama kweli tunalilia mabadiliko basi kila mtakamabadiliko awe mfano. Hii ni challange kwa raia na wanasiasa wa Tanzania. No more time for talk that talk, its about walk that walk.
 
MJ ndio nani? Nimeshindwa kutamtambua kwa kumsikiliza peke yake! Ila watanzania tunaweza sana kuongea kuliko kutenda! Kama kuna mtu alikuwa na maneno yeneye kutia hamasa na matumaini JK ni nambari wani! Lakini hajafanya chochote kinachofanana na maneno yake!

Utafiti wangu binafsi unanionyesha kwamba watu wengi wanaoongea sana huwa si watendaji wazuri! Watendaji wazuri ni wale watu vitendo zaidi kuliko maneno! Mfano Mkapa!
 
Mtanganyika,
Naomba kutofautiana na wewe pale unaposema stratagy za Nyerere haziwezi kufanya kazi katika dunia ya leo. Nitatoa mfano wa eneo la madini kuonyesha kuwa kuna maeneo ambayo bado tunaweza kufanya vizuri hata kwa misingi ya azimio la Arusha.
Tulikuwa na shirika la madini (STAMICO) ambalo sina hakika kama bado lipo. Shirika hili lilikuwa na geologists na wahandisi wa migodi wa kutosha. Shirika hili lingewezeshwa kupata mkopo wa kununulia mitambo inayohitajika kufanya kazi ya uchimbaji madini chini ya usimamizi wa bodi madhubuti ya wakurugenzi tofauti na hizi tulizozoea ambazo ni bodi za kupeana ulaji na mzigo kwa walipa kodi, ingeweza kufanya vizuri sana. Kwanza serikali ingepata fedha kutokana na gawio toka kwenye faida, (dividends) na pia toka kwenye kodi ambayo ingekuwa 30% ya faida hiyo. Strategy za huyu mzee zilikuwa makini sana, tatizo ni pale alipohamisha watu toka walikoua shirika moja kwenda kuua jingine. China ukiuwa shirika la umma adhabu yako ni kali sana. Ubepari haliwezi kuwa jibu la kila tatizo hasa tunapowapatia mabepari hao mali zetu bila malipo yoyote.
 
Mtanganyika,
Naomba kutofautiana na wewe pale unaposema stratagy za Nyerere haziwezi kufanya kazi katika dunia ya leo. Nitatoa mfano wa eneo la madini kuonyesha kuwa kuna maeneo ambayo bado tunaweza kufanya vizuri hata kwa misingi ya azimio la Arusha.
Tulikuwa na shirika la madini (STAMICO) ambalo sina hakika kama bado lipo. Shirika hili lilikuwa na geologists na wahandisi wa migodi wa kutosha. Shirika hili lingewezeshwa kupata mkopo wa kununulia mitambo inayohitajika kufanya kazi ya uchimbaji madini chini ya usimamizi wa bodi madhubuti ya wakurugenzi tofauti na hizi tulizozoea ambazo ni bodi za kupeana ulaji na mzigo kwa walipa kodi, ingeweza kufanya vizuri sana. Kwanza serikali ingepata fedha kutokana na gawio toka kwenye faida, (dividends) na pia toka kwenye kodi ambayo ingekuwa 30% ya faida hiyo. Strategy za huyu mzee zilikuwa makini sana, tatizo ni pale alipohamisha watu toka walikoua shirika moja kwenda kuua jingine. China ukiuwa shirika la umma adhabu yako ni kali sana. Ubepari haliwezi kuwa jibu la kila tatizo hasa tunapowapatia mabepari hao mali zetu bila malipo yoyote.

Gagnija!
Nadhani kwa hili tutapingana kidogo, jee ni serikali gani duniani ambayo imeweza kuendesha viwanda kwa ufanisi? China ya leo imekubali wawekezaji, nchi za scandnavia ambazo ziliweza kuchanganya upebari na ujamaa zinashindwa kuendesha viwanda wavyao kwa ufanisi. Serikali kazi yake ni kukusanya kodi na kutengeneza sheria ambazo zitawalinda wanashare(stakeholder).

Ifaamike ya kwamba Tanzania imefanya ubinafsishaji kiolela ndio maana lengo zima la ubinafsishaji linaonekana kama kiini macho kwa Watanganyika wengi. Tumeshaona jinsi serikali ya Tanzania ilivyo uwa makampuni kama Mbolea Tanga, Chuma, SIDO, TOL, na mengine mengi sana. Sababu ni kwamba serikali haiwezi kufanya usimamizi mzuri katika sector ya uzalishaji. Waacha investor wamiliki, then wewe kama serikali impose sheria za kucontorol the whole movement.

Madhara ya serikali kumiliki viwanda ni makubwa, include kuintroduce trade barriers na nchi ningine sababu ya kuvilinda viwanda hivyo, vile vile kuumuumiza mtumiaji wa mwisho amabae ni Mtanzania.
 
katika pitapita zangu nimekuta Watanzania wenzetu ktk www.youngafrican.com wanamjadili BABA WA TAIFA.

Nimeona hii kitu siyo nzuri kidogo naomba tuijadili. kuna mwenye data za ku-support au ku-dispute madai hayo yaliyotolewa?


1.
no-name said:
I understand that the French guy actually wrote the whole of the Arusha declaration for Nyerere which outlines the Ujamaa concept. I have the guy's name at home somewhere I ll write it here when I find it. It was aparently in newspapers etc outside Tanzania in those days that it is this guy who wrote it for Nyerere and Nyerere was asked on a few occasions by students etc in Tanzania to comment on the truth of that and he simply told off whoever asked it very angrily and they stoped asking as their fate was now at risk with such questions. he never did deny it in Tanzania or to the newspapers abroad. I think a lot of the intellectuals and students and politicians then knew that he never wrote it but could not say anything.

2.
no-name said:
The French guy's name is Rene Du Mont. He must have died some years ago. At the time he was a lecturer in Agriculture and Development studies at a Private University in Paris. He wrote a book titled "L'Afrique est mal Parti" which was translated in swahili by Gabriel Ruhumbika and the swahili title was "Afrika imekwenda kombo". Some people say he wrote teh whole thing some say he gave Nyerere the whole idea and directed him on hwo to write it and go about it but yeah either way that it was this guy's idea is what they say.

3.
critic said:
So Nyerere was a plagiarist huh? I dont know about this French guy but I know Nyerere's thinking was heavily influenced by his african upbringing and British/Scotish socialism, especially Fabianism during his Edinbrugh days.

Nyerere has been accussed of not giving credit for his "work" in an almost plagiarist ways.case in point is the Kagera War declaration speech at Diamond Jubilee when he said "Nia tunayo, Uwezo tunao na nguvu tunazo" or some similar bull, come to find out it was a very popular British WW1 pop song to mobilize the Brits.

Mzee alifikiri hatutamshtukia!
 
MJ ndio nani? Nimeshindwa kutamtambua kwa kumsikiliza peke yake! Ila watanzania tunaweza sana kuongea kuliko kutenda! Kama kuna mtu alikuwa na maneno yeneye kutia hamasa na matumaini JK ni nambari wani! Lakini hajafanya chochote kinachofanana na maneno yake!

Utafiti wangu binafsi unanionyesha kwamba watu wengi wanaoongea sana huwa si watendaji wazuri! Watendaji wazuri ni wale watu vitendo zaidi kuliko maneno! Mfano Mkapa!
Magufuli JOHN
 
Back
Top Bottom