4X4byfar
JF-Expert Member
- Oct 29, 2008
- 201
- 17
Hivi jamani wana wenzangu Jf...kwanza hamjamboni na poleni na shughuli. Ningependa kujua mtu anaweza ku access e-mail ya mwengine bila kujua password yake. Na je program hio inaitwaje, na je, utawezaje kujua kama mtu alikuwa ana access your mails. Maana yamemkuta jamaa mmoja wife alikuwa anafanya hayo mambo na akamuumbua na yote aliyokuwa akiyafanya humo ndani ya email. Ningependa kujuzwa katika hili wapendwa. Asanteni.