4X4byfar
JF-Expert Member
- Oct 29, 2008
- 201
- 17
Hamjambo waugwana!
Jamani leo nimekuja na swali kutoka mitaa ya pili, kuna shoga angu jirani kamsitishia hubby mavituz, kwa hofi ya maambukizo kutokana na tabia ya huyo bwana ya kuchelewa kurudi hm aliyoonza huku akiwa anarudi amelewa na kumdanganya wife eti kachelewa kutoka offisini. Je ni sawa au kuna ushauri mbala tunaweza kumsaidia.
Jamani leo nimekuja na swali kutoka mitaa ya pili, kuna shoga angu jirani kamsitishia hubby mavituz, kwa hofi ya maambukizo kutokana na tabia ya huyo bwana ya kuchelewa kurudi hm aliyoonza huku akiwa anarudi amelewa na kumdanganya wife eti kachelewa kutoka offisini. Je ni sawa au kuna ushauri mbala tunaweza kumsaidia.