Ushamsikia Dk. Haki Madhubuti (formely Don L. Lee)? Naye ndiyo hao waliokataa majina ya kitumwa.
Halafu utacheza sisi Waafrika wenyewe ndiyo tunajipa majina ya kizungu, lol.
Nilidhani alibakariMembers hasa kwenye masuala ya Enternteinment nina swali?
Hivi Bakari Kitwana aliyeandika "Why white Kids Love Hip Hop" ni wa kwetu?
Kama kuna mwenye details zake animwagie