Bongolander
JF-Expert Member
- Jul 10, 2007
- 5,067
- 2,194
Toka amepata massive stroke sijasikia tena habari yake. Alipopelekwa kwenye hospitali ya Hadassa na kuwekwa kwenye coma, mpaka sasa sijabahatika kusikia habari mpya any news?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature currently requires accessing the site using the built-in Safari browser.
Toka amepata massive stroke sijasikia tena habari yake. Alipopelekwa kwenye hospitali ya Hadassa na kuwekwa kwenye coma, mpaka sasa sijabahatika kusikia habari mpya any news?
Ndio hivyo mkuu ,kuna kitu cha kujifunza hapoKweli hiyo kali, nilikuwa nafuatilia aliyokuwa anasema kuhusu waarabu kwenye youtube, alipanga kuwakomesha na kuwaua kisawasawa naona nia yake haikutimia.
Nadhani that is a very bad ending kwake.