Is 100kg of stones heavier than 100kg of cotton? Why? How?

Usiwe na jazba Kiranga
SI unit ni Standard Measuremnt Unit.
hayo mambo ya troy pounds na avoirdupois pounds unayoyasema unaweza kuyafafanua kimahesabu? unaweza kufanya conversion zake. Umewai kufanya calcculation ya physics kwenye uzito wa punds?

Ndio maana kukawepo kuna kitu kinaitwa SI unit inayokubalika kimataifa. Ukisema umbali wa kutoka eneo A to B ni yards 600 hiyo siyo SI unit inayokubalika labda kwa hao waingereza

So tell us when u critically challenge others people's ideas, comments and views who died and made u chef?

Hata uki google kitu usichukue kizima kizima kama kilivyo.


Nakubaliana nawe. Hata hivyo nashangaa kidogo kuwa suala hili linaleta mjadala wakati naona liko wazi tu. Anyway, SI unit hupima Heaviness in terms of mass or weight. Kilo 100 za kitu chochote ni sawa kwa uzito na kilo 100 za kitu kingine chochote, full stop. Weight ni namna uzito unavyopimika tegemeana na uvutano (gravitation) uliopo kwenye eneo husika. Weight hupimwa kwa kipimo kiitwacho Newton (N). Hata hivyo kimazungumzo (Si kisayansi) mtu akiuliza what is the weight of this sugar unaweza kujibu 2 kg japo kg ni kwa ajili ya mass, hayo ni mazungumzo tu na inakubalika kukosea hivyo. Sasa, mass ya 2 kg katika eneo fulani lenye uvutano wa 10 m/seq square (tuite tu 10) ni = uvutano x mass = 20 N. Mass hiyo hiyo katika uvutano wa 5 weight yake ni = 2 x 5 = 10 N.

Uvutano unabadilikaje? Maeneo hutofautiana uvutano. Dunia si umbo kama mpira, maana yake kutoka magharibi kwenda mashariki ni parefu kuliko kutoka kaskazini kwenda kusini. Hivyo, ukikaa katika ncha ya kusini na kaskazini unakuwa uko karibu zaidi na kitovu cha dunia (centre of the earth) unakoanzia uvutano kuliko kama ungekuwa pembeni ya dunia yaani maeneo ya ikweta. Hii ina maana kitu hichohicho kimoja kinakuwa na weight kubwa katika north na south pole (ambako kinavutwa sana) kuliko katika ikweta japo mass ni ile ile (mass haizidishwi na gravity) kwa sababu mvutano unapungua maeneo hayo.

Mwezi unavuta (mvutano) kitu kidogo/kidogokidogo hivyo weight ya kitu hichohicho duniani ni kubwa kuliko mwezini na ndo maana ukiliachia yai liangukie jiwe mwezini linaweza lisivunjike kwa sababu linatua polepole lakini duniani likely litavunjika kwa sababu gravitation ya dunia ni kubwa mara sita (navyokumbuka) kuliko ya mwezi. Mvutano wa sayari ya Jupiter ni mkubwa sana kuliko dunia (sijui ni kwa kiasi gani) sija-google. Ukianguka toka mezani duniani hadi sakafuni utachubuka, kwenye jupiter utavunjika mbavu kwa kuwa utaanguka kwa kasi kubwa kweli sababu ya ukubwa wa gravity.

Kuna sehemu angani hakuna uvutano, hivyo ukiachiwa eneo hilo unaweza ukaelea siku zoote na utakufa kwa njaa, baridi na kukosa hewa ya oksijeni na si kwa kuanguka.

Ah, haya nadhani nimeeleweka.
 
Wewe kwa kushabikia tu, ushaona saa inayokwenda anti-clockwise lakini haipotezi uwezo wa kuonyesha majira sawa ?

Watu tushaona mpaka antigravity katika Kaluza-Klein spacetime, huyu anatusimangia "SI Unit zinazoeleweka" ?

Kiranga, saa kwenda anti-clockwise haitonishangaza hata chembe! Na hapo nasema ukweli ndugu.

Saa "kuonesha majira sawa" itategemea unailinganisha na saa ipi. Kumbuka miaka kama mitatu iliyopita (kama sijasahau) hata atomic clock zilikuwa zimepoteza some measurable units kutokana distance ya dunia kutoka jua kubadilika. Not only that, but kuonesha majira sawa inategemea vipimo vya saa (vifaa) vinavyolinganishwa vina-move katika speed gani na pahala gani kutoka umbali wa jua.

Mkuu, (kwa maoni yangu) sioni kama jamaa amekusimanga kiasi cha kukufanya ufyatue risasi na makombora yote under this time and space in atomic measurements!! Keep ya cool Bro!!
 
Sioni kwanini vijana tunashambuliana hapa. Nimejarbu kujibu swali katika thread yangu hapo juu. Naomba mawazo yangu yatumike au nikosolewe.
 
Kiranga, saa kwenda anti-clockwise haitonishangaza hata chembe! Na hapo nasema ukweli ndugu.

Saa "kuonesha majira sawa" itategemea unailinganisha na saa ipi. Kumbuka miaka kama mitatu iliyopita (kama sijasahau) hata atomic clock zilikuwa zimepoteza some measurable units kutokana distance ya dunia kutoka jua kubadilika. Not only that, but kuonesha majira sawa inategemea vipimo vya saa (vifaa) vinavyolinganishwa vina-move katika speed gani na pahala gani kutoka umbali wa jua.

Mkuu, (kwa maoni yangu) sioni kama jamaa amekusimanga kiasi cha kukufanya ufyatue risasi na makombora yote under this time and space in atomic measurements!! Keep ya cool Bro!!

Ustakencheke, mimi nakwambia saa kuonyesha majira sawa, wewe unaniambia kulinganisha saa moja na nyingine, na hiyo nyingine ikiwa haionyeshi majira sawa je ?

Saa zote zinazoenda clockwise katika southern hemisphere haziendi sawa, kwa sababu mwendo wa clockwise unafaa kwa northern hemisphere, watu wa southern hemisphere tulitakiwa tuwe na saa zetu zinazokwenda anti clockwise. So much for conventions and "SI Unit zinazoeleweka".

Distance ya dunia kutoka jua inabadilika kila siku, sasa unaposema atomic clock imepoteza some measurable units kutokana na hili sikuelewi, labda ujieleze vizuri zaidi.

Kwa maoni yako unaona sijasimangwa, kwa maoni yangu naona sijapiga hata kofi, seuze kufyatua risasi. You say I am talking too fast, I say you are listening too slow.

Keep my cool ? I'm cooler than Siberian permafrost in this age of Kilimanjaro snow-melting global warming.
 
As long as tunaongelea standards, let's keep them.

Hakuna kitu kama "SI Unit zinazoeleweka" either unaongelea "SI Unit inayoeleweka" au "SI Units zinazoeleweka"

Nini SI Units, watu tushaona mpaka galactic units, Kilingon units, negative energy, imaginary time, anti-matter, multiverses, action-at-a-distance spookyness na singularity yenyewe measurements zote zinapovunjika.

Unaniuliza nifafanue na kufanya conversion wakati conversion nishakupa hapo juu? Unajua kusoma wewe?

Unajua hata tofauti kati ya "Chief" na "chef"?

Inaonekana hujui.

Umzisoma katika level gani hizo measurement zote na somo gani na level gani. Acha kudanganya watu kwa vitu vya ku google. Unganisa Google na amambo uliyosoma na iliyowai kufanyia calculation.

eti galatic unit?
Ulisoma vitabu gani katika hivi O lovel kitabu cha arthur atinkson, Au Aboo t au M Nelkon cha principle of physics. ?

Wewe unaweza kuwa ndo wale tunawaita macomplicator. Trying to complicate things cant hide your weakness. As u can criticise others vile vile na wewe unaweza kuwa ctiticised.

Kuhusu mfano wa chef na Chief naweza kuwa sijui na huko kwenye lugha nakubali wewe ni mtaalamu lakini kwenye haya mambo ya Physcis by just googling u will just be infomomed but u wont know
 
Dear valued member,

I have asked a friend of mine "which is heavier between a 100 kg of stones and 100 kg of cotton (pamba)". He told me that 100 kg of stones is heavier that that of cotton! I asked him again does 100 kg of stone weigh heavier that 100 kg of cottons? He insisted yes! He added 'there is a difference between mass and weight'.

So guys, I bring this issue to you. I need more explanation(s) on this matter as far as mass and weight is concerned!

Thank you for your kind prompt.

CBZ angalia thread yangu hapo juu halafu unipe feedback au kama unaswali lla nyongeza karibu.
 
Sioni kwanini vijana tunashambuliana hapa. Nimejarbu kujibu swali katika thread yangu hapo juu. Naomba mawazo yangu yatumike au nikosolewe.

Jibu hilo lilishatolewa kabla yako, kwa hiyo kama swala ni jibu tu hata wewe ulitakiwa usitoe jibu, huna jipya ulilosema katika thread hii.
 
Umzisoma katika level gani hizo measurement zote na somo gani na level gani. Acha kudanganya watu kwa vitu vya ku google. Unganisa Google na amambo uliyosoma na iliyowai kufanyia calculation.

eti galatic unit?
Ulisoma vitabu gani katika hivi O lovel kitabu cha arthur atinkson, Au Aboo t au M Nelkon cha principle of physics. ?

Wewe unaweza kuwa ndo wale tunawaita macomplicator. Trying to complicate things cant hide your weakness. As u can criticise others vile vile na wewe unaweza kuwa ctiticised.

Watu wengine kwa conventions na kuwa spoon fed tu huwawezi, ndiyo maana wanahusudu sana "SI Unit zinazoeleweka" bila ya wao kuzielewa.

Nani kakwambia mtu kusoma hivi vitu ni lazima usome kwa convention za O level na A level sijui Nelkon na nani ?

Mpaka sasa hivi hujaweza ku criticise kitu, zaidi ya kujionyesha kwamba una one track mind tu.

Ndiyo maana kutu control rahisi sana.

Beware of people of one book.
 
Jibu hilo lilishatolewa kabla yako, kwa hiyo kama swala ni jibu tu hata wewe ulitakiwa usitoe jibu, huna jipya ulilosema katika thread hii.

Ya actually sijitambulishi kama mjibu swali pekee bali kama mchangia mada. Nimejaribu kutolea ufafanuzi kwa mifano zaidi na kwa angle tofauti kidogo na wazungumzaji waliotangulia. Naheshimu michango yao, sijakusudia kuja na jipya kwa kuwa hata swali lenyewe halijauliza kitu kipya. Habari za Gravity ni za zamani sana enzi za akina Galileo (Alikufa mwaka aliozaliwa Newton). Nachoshangaa ni malumbano badala ya kujibu hoja ndo maana hata muuliza swali ameshangaa na kusisitiza ajibiwe alichouliza. Nimnukuu kidogo mshindi wa tuzo ya Nobeli ya Fizikia Niels Bohr, "Uongo hutenguliwa na ukweli na ukweli hutenguliwa na ukweli mkubwa zaidi." (Tafsiri ni yangu).

Naomba kuwasilisha.
 
Ya actually sijitambulishi kama mjibu swali pekee bali kama mchangia mada. Nimejaribu kutolea ufafanuzi kwa mifano zaidi na kwa angle tofauti kidogo na wazungumzaji waliotangulia. Naheshimu michango yao, sijakusudia kuja na jipya kwa kuwa hata swali lenyewe halijauliza kitu kipya. Habari za Gravity ni za zamani sana enzi za akina Galileo (Alikufa mwaka aliozaliwa Newton). Nachoshangaa ni malumbano badala ya kujibu hoja ndo maana hata muuliza swali ameshangaa na kusisitiza ajibiwe alichouliza. Nimnukuu kidogo mshindi wa tuzo ya Nobeli ya Fizikia Niels Bohr, "Uongo hutenguliwa na ukweli na ukweli hutenguliwa na ukweli mkubwa zaidi." (Tafsiri ni yangu).

Naomba kuwasilisha.

Kama unaelewa kwamba thread hii inahusisha zaidi ya jibu na swali tu, basi ujue hata hayo unayoyaita "vijana kushambuliana" ni sehemu tu ya natural evolution ya thread hii. Kuna watu wana banter na kujaribu mental jiujitsu ambazo kama roho yako ndogo unaweza kuona hatari kumbe wala si chochote, mwisho wa thread wanashikana mikono, huyu kajifunza hiki na yule kajifunza kile.

Huwezi kushangaa malumbano badala ya watu kujibu hoja wakati ushakubali kwamba hoja ishajibiwa kabla yako. Swali la msingi lishajibiwa zamani sana kilichobaki hapa ni sarakasi na mazungumzo baada ya habari.

Kama tungetaka kujibu thread kwa umuhimu sidhani kama hii thread ingepata jibu.
 
Watu wengine kwa conventions na kuwa spoon fed tu huwawezi, ndiyo maana wanahusudu sana "SI Unit zinazoeleweka" bila ya wao kuzielewa.

Nani kakwambia mtu kusoma hivi vitu ni lazima usome kwa convention za O level na A level sijui Nelkon na nani ?

Mpaka sasa hivi hujaweza ku criticise kitu, zaidi ya kujionyesha kwamba una one track mind tu.

Ndiyo maana kutu control rahisi sana.

Beware of people of one book.
U can try to inform and be well informed in science issues but u aither never did science. Or never liked it. Eti people Of one book. Kitabu gani ulisoma hizo sijui galatic

Mimi nimwekwambia wewe unakuja na mifano ya google ya sijui Pound of feather is heavier than pound of stone . Sijui Ounce fo what. Ni vitabu gani ulisoma haya. Wote tuna google lakini wewe unasahau kwa kuwa huna hata base ya hiyo physics.
SI unit ya
lenght= Meter
Mass= Kg
Time= seconds
Electric Curent= Ampere

Sasa wewe na mifano yako ya pound sijui ounce na ndo nimekuuliza ulisoma UK toka chekechea au akili ya ku google inakufanya usahau kuwa tuna standard.
Standard Measurement ndio somo la kwanza kwa physics na SI unit ndio hizo chache nimekutajia.
 
........ thread hii inahusisha zaidi ya jibu na swali tu........ Kuna watu wana banter na kujaribu mental jiujitsu ......... mwisho wa thread wanashikana mikono................
...................ushakubali kwamba hoja ishajibiwa kabla yako. Swali la msingi lishajibiwa zamani sana kilichobaki hapa ni sarakasi na mazungumzo baada ya habari.

Kama tungetaka kujibu thread kwa umuhimu sidhani kama hii thread ingepata jibu.

OK. Lakini nadhani suala la jiujitsu hubakia kuwa ni reflection za tabia za watu binafsi ambazo nadhani zinaweza hata kupoteza mwelekeo wa mada. Najiuliza ni jibu lipi ambalo wewe unaona ni jibu kwa kuwa ulichokisema kimeshambuliwa at least partly. Anyway, naamini CBZ kapata picha ya swali alilouliza. Ikiwa jibu linafuatiwa na Jiujitsu ngoja tuwaachie akina Vladmir Putin na Sensei Kiranga.
 
OK. Lakini nadhani suala la jiujitsu hubakia kuwa ni reflection za tabia za watu binafsi ambazo nadhani zinaweza hata kupoteza mwelekeo wa mada. Najiuliza ni jibu lipi ambalo wewe unaona ni jibu kwa kuwa ulichokisema kimeshambuliwa at least partly. Anyway, naamini CBZ kapata picha ya swali alilouliza. Ikiwa jibu linafuatiwa na Jiujitsu ngoja tuwaachie akina Vladmir Putin na Sensei Kiranga.

Ushakubali swala la maada lishapatiwa jibu, unataka ku spend extra energy ku herd cats hapa na ku maintain muelekeo wa mada ili mada iende wapi wakati jibu tushapata?

Safari yetu tushafika, watu wanacheza dansi, wewe unasema msicheze tusije kupotea njia tusifike tunakoelekea. Watu tunakushangaa tunakoelekea wapi wakati safari tushafika?

Ingekuwa watu wanaleta extra curricular activities kabla ya kujibu swali, sawa ningekuelewa.

Lakini swali lishajibiwa, vipi mwenzetu wewe disciplinarian by default and for no reason? Au unataka kusema tutapoteza wino na karatasi kuandika hapa ?
 
U can try to inform and be well informed in science issues but u aither never did science. Or never liked it. Eti people Of one book. Kitabu gani ulisoma hizo sijui galatic

Mimi nimwekwambia wewe unakuja na mifano ya google ya sijui Pound of feather is heavier than pound of stone . Sijui Ounce fo what. Ni vitabu gani ulisoma haya. Wote tuna google lakini wewe unasahau kwa kuwa huna hata base ya hiyo physics.
SI unit ya
lenght= Meter
Mass= Kg
Time= seconds
Electric Curent= Ampere

Sasa wewe na mifano yako ya pound sijui ounce na ndo nimekuuliza ulisoma UK toka chekechea au akili ya ku google inakufanya usahau kuwa tuna standard.
Standard Measurement ndio somo la kwanza kwa physics na SI unit ndio hizo chache nimekutajia.

Wewe unajua kusoma kweli wewe au unajishaua tu?

Mbona nilishatoa jibu la hizo SI Units zako kabla ya kusema kitu kingine chochote ?

Uliona nilipopost

https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...an-100-kg-of-cottons-why-how.html#post1082599



A kilogram is a kilogram, and it doesn't matter whether you are talking about a kilogram of stones or cotton.

On the other hand, a pound of gold is not the same as a pound of feathers. A pound of feathers is heavier than a pound of gold.

Au unapayuka tu ?
 
A kilogram is a kilogram, and it doesn't matter whether you are talking about a kilogram of stones or cotton.

On the other hand, a pound of gold is not the same as a pound of feathers. A pound of feathers is heavier than a pound of gold.

A kilogram is kilogram no matter waht. Why not the same for a pound ? Je ina maana hata Pund ya mawe ni tofauti na pound ya pamba? ebu kokokota au tufafanulie ni factors gani zinazosababisha hili. Tuelimishane
 
Ushakubali swala la maada lishapatiwa jibu, unataka ku spend extra energy ku herd cats hapa na ku maintain muelekeo wa mada ili mada iende wapi wakati jibu tushapata?

Safari yetu tushafika, watu wanacheza dansi, wewe unasema msicheze tusije kupotea njia tusifike tunakoelekea. Watu tunakushangaa tunakoelekea wapi wakati safari tushafika?

Ingekuwa watu wanaleta extra curricular activities kabla ya kujibu swali, sawa ningekuelewa.

Lakini swali lishajibiwa, vipi mwenzetu wewe disciplinarian by default and for no reason? Au unataka kusema tutapoteza wino na karatasi kuandika hapa ?

Haha hahaaaaa

Sensei... naona jiujitsu imetawala ukichanganya na Dansi la Soloist Kiranga....... haya kazi kwenu. Maana kwa kelele ya muziki huu hata muuliza swali imebidi akimbie japo Kiranga anaamini kaondoka baada ya kuridhika na jibu.
 
Haha hahaaaaa

Sensei... naona jiujitsu imetawala ukichanganya na Dansi la Soloist Kiranga....... haya kazi kwenu. Maana kwa kelele ya muziki huu hata muuliza swali imebidi akimbie japo Kiranga anaamini kaondoka baada ya kuridhika na jibu.

Kiranga anapiga muziki kwa jiujitsu, halafu gita linapigwa kwa kutumia string theory, lazima ukubali.

Unajuaje kwamba mtoa mada kakimbia na hakuondoka baada ya kupata jibu murua ?
 
A kilogram is kilogram no matter waht. Why not the same for a pound ? Je ina maana hata Pund ya mawe ni tofauti na pound ya pamba? ebu kokokota au tufafanulie ni factors gani zinazosababisha hili. Tuelimishane

Unajionyesha kwamba unakurupuka na husomi, watu walishauliza kutaka ufafanuzi wa sehemu hiyo, ufafanuzi ukatolewa kama hapo chini, ukaunukuu ufafanuzi bila kuusoma au kuuelewa.

Sasa unajiadhiri kwa kuuliza swali ambalo jibu lake ulisha linukuu. Wewe ni mvivu wa kusoma au mgumu wa kuelewa, yote magonjwa mabaya.

https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...an-100-kg-of-cottons-why-how.html#post1083298

A pound of feathers is heavier than a pound of gold because gold is measured in troy pounds, while feathers are measured in avoirdupois pounds.

Troy pounds have 12 ounces; avoirdupois pounds have 16 ounces. A Troy pound contains 372 grams in the metric system; an avoirdupois pound contains 454 grams in the metric system, therefore each troy ounce is heavier than an avoirdupois ounce, making a pound of feathers heavier than a pound of gold.

Don't blame me, blame the English.

Source "The Big Book of Answers" Edited by Kevin S. Hile.
 
Kiranga anapiga muziki kwa jiujitsu, halafu gita linapigwa kwa kutumia string theory, lazima ukubali.

Unajuaje kwamba mtoa mada kakimbia na hakuondoka baada ya kupata jibu murua ?

Nimekukubali. Suala la muulizaji kuridhika ama la sina ushahidi nalo. Ilitegemewa ashukuru kwa kupata jibu. Ukiangalia alivyoanza, "Dear valued member,..." inaonesha ana uungwana ambao ungemfanya aage kama alivyobisha hodi. Mtu akibisha hodi vizuri halafu asiage huenda kakuta wenye nyumba wanapiga magitaa kwa string theories kwa makelele na ikamfanya adondoshe machozi kama matone ya oil katika "Millikan Oil Drop experiment"
 
A pound of feathers is heavier than a pound of gold because gold is measured in troy pounds, while feathers are measured in avoirdupois pounds.

Troy pounds have12 ounces; avoirdupois pounds have 16 ounces. A Troy pound contains 372 grams in the metric system; an avoirdupois pound contains 454 grams in the metric system, therefore each troy ounce is heavier than an avoirdupois ounce, making a pound of feathers heavier than a pound of gold.

Don't blame me, blame the English.

Hii ina maana gani kwa sisi tusiolewa. yaani hahaha inabidi nicheke kwa kweli ukiandika kimahesabu haya maelezo yako watu watagundua wewe msanii. hayo maelezo yako hapo ni hesabu na ukikokotoa kimahesabu hayaendani .
 
Back
Top Bottom