Irrigation Scheme!

Rich Dad

JF-Expert Member
Dec 15, 2010
748
133
Habarini Wana JF,

Naomba mwenye kujua sifa za eneo linalofaa kwa ajili ya ku-initiate "Irrigation Scheme" katika small scale lakini, hii iwe ni kwa ajili ya mazao ya chakula na sanasana horticultural Produce.
Mfumo utakaoiwezesha jamii ya eneo husika kufaidika pia ili kuwe na uhakika wa kupanda na kuvuna Mwaka mzima pasipo kutegemea mvua, ambazo mara nyingi zimekuwa zina let down wakulima wetu pale zinapogoma.

Asanteni na ninawakilisha.
 
Nje Kidogo ya Dar Es Salaam Mkuu, si unajua mwisho wa siku soko kubwa na la uhakika lipo Dar? So ili kupunguza gharama za usafiri inabidi project iwe jirani na dar!
 
DSM au mikoani?
where is ur target?

Nje Kidogo ya Dar Es Salaam Mkuu, si unajua mwisho wa siku soko kubwa na la uhakika lipo Dar? So ili kupunguza gharama za usafiri inabidi project iwe jirani na dar!
 
Mkuu hebu ongea vizuri and be specific. Wapi, zao gani na ni nini hasa unahitaji. coz sehemu zipo nyingi. I need to know wewe ni muuzaji wa pump ama irrigation machines au unataka anza kilimo etc be detailed kidogo.
 
Mkuu hebu ongea vizuri and be specific. Wapi, zao gani na ni nini hasa unahitaji. coz sehemu zipo nyingi. I need to know wewe ni muuzaji wa pump ama irrigation machines au unataka anza kilimo etc be detailed kidogo.
Mimi si muuzaji wa pump, ninataka kuanza kilimo....so ninaomba mchango wenu wa kimawazo kuhusu sehemu nzuri ambayo ina maji ya uhakika ili niwekeze pia na kwenye miundo mbinu ya umwagiliaji!
 
Unapoomba ushauri kuhusu jambo unalotaka kulifanya, ukatakiwa kutoa maelezo kuhusu jambo hilo, ukitoa maelezo yasiyojitosheleza, basi hapo utakuwa unakaribisha maswali mengi juu ya jambo hilo au kupewa ushauri usiojitosheleza. "Mkuu toa maelezo ya kutosha usaidiwe haraka maana ni jambo jema unalotaka kufanya"
 
Asante mkuu, ila ningependa kujua ....ardhi inakwenda bei gani kule?

Kuna eneo Mkuranga kando ya mto, mimi nimefika hapo, eka moja ni Tsh 400,000/ na bei inapungua,mto una maji ya kudumu na barabara ipo. Ni km 78 toka mnazi mmoja. Kuna eneo zuri sana dakawa Morogoro kando ya mto wami, tatizo ni wakati wa mvua, ikinyesha mvua huwezi kuingia na gari hata kama ni 4W na inabidi uingie kwa miguu halafu peku. Bei kwa eka ni Tsh 60,000/ Udongo ni mzuri sana na maji kibao na pembeni yake kuna mradi wa Nafco.
 
Kuna eneo Mkuranga kando ya mto, mimi nimefika hapo, eka moja ni Tsh 400,000/ na bei inapungua,mto una maji ya kudumu na barabara ipo. Ni km 78 toka mnazi mmoja. Kuna eneo zuri sana dakawa Morogoro kando ya mto wami, tatizo ni wakati wa mvua, ikinyesha mvua huwezi kuingia na gari hata kama ni 4W na inabidi uingie kwa miguu halafu peku. Bei kwa eka ni Tsh 60,000/ Udongo ni mzuri sana na maji kibao na pembeni yake kuna mradi wa Nafco.

Asante mkuu nita Ku PM ili tuwasiliane zaidi nijue taratibu zikoje za ku-acquire hiyo ardhi ya mkuranga.
 
Kuna eneo Mkuranga kando ya mto, mimi nimefika hapo, eka moja ni Tsh 400,000/ na bei inapungua,mto una maji ya kudumu na barabara ipo. Ni km 78 toka mnazi mmoja. Kuna eneo zuri sana dakawa Morogoro kando ya mto wami, tatizo ni wakati wa mvua, ikinyesha mvua huwezi kuingia na gari hata kama ni 4W na inabidi uingie kwa miguu halafu peku. Bei kwa eka ni Tsh 60,000/ Udongo ni mzuri sana na maji kibao na pembeni yake kuna mradi wa Nafco.
Mkuu malila kuna tetesi nimesikia kwamba eneo la Mkuranga ni Kimeo na si la kunununua, jamaa kanihabarisha kuwa eneo kubwa la mkuranga limeshauzwa kwa makampuni ya mafuta kwa ajili ya kufanya exploration. Je kuna ukweli wowote?
 
Mkuu malila kuna tetesi nimesikia kwamba eneo la Mkuranga ni Kimeo na si la kunununua, jamaa kanihabarisha kuwa eneo kubwa la mkuranga limeshauzwa kwa makampuni ya mafuta kwa ajili ya kufanya exploration. Je kuna ukweli wowote?

Sio kweli mkuu, redio mbao hizo. Exploration inafanyika na wakigundua ktk shamba lako kuna mali wanatoa fidia, vigogo wanamaliza mkuranga. Kimsingi Mkuranga ni eneo ambalo lina taasisi chache mno zilizo na viwanja huko. Ningejua mail yako ningekupa orodha ya vigogo waliojipatia mashamba Mkuranga ktk ukanda wa Shungubweni/ na Boza beach na Kruti Island. Nani aliyeuza? Ila kuna maombi ya mwarabu mmoja anayetaka kuwekeza ktk kijiji Mpafu kabla hujafika Kisiju. Hilo deal linaendelea na likifanikiwa basi wengi tutafaidika.
 
Duh mimi mbona nina ardhi huko,ila mafuta yapo chini sana
Mkuu malila kuna tetesi nimesikia kwamba eneo la Mkuranga ni Kimeo na si la kunununua, jamaa kanihabarisha kuwa eneo kubwa la mkuranga limeshauzwa kwa makampuni ya mafuta kwa ajili ya kufanya exploration. Je kuna ukweli wowote?
 
Chimba kisima (BORE HOLE) maji uhakika na utachagua sehemu yoyote iliyi karibu na soko lako.Nenda wizara ya maji pale ubungo watakufahamisha kila linalo hitajika,
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom