Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii imetikea Gaza ama vpBREAKING: IDF Jeep hit by Hamas ATGM
Kuna gari la jeshi sasaivi la Israel limepigwa antitank ndani kukiwa na wanajeshi wengi
Mpaka wa Gaza sasaiviHii imetikea Gaza ama vp
Waambie wenzako waache uchokoziHayo majitu ndio maana Hitler aliyanyonga ,kwa nini watake kupora ardhi za wenzao?
Pumbavu sana,mimi sio kiislamu lakini huu ujinga wa eti imani ni ushenzi wa kukiuka haki za Binadamu,,Irani awapenyezee silaha hao Wapalestina
Yaani US aingilie ugomvi wa Hamas?Israel mbona anaiabisha ulimwengu huyu
Kwamba US kamkacha sasa anapambana kivyake??
Sisi tunawaua TU hatujali kituKuna tukio jengine linalozidi kuwatia kiwewe mayahudi nalo ni maandamano yasijayowahi kufikia kiwango hicho yanayotokea ndani ya Israel yanayofanywa na jamii za kiarabu wakiunga mkono wenzao wa Palestina. Israel imesema ni kama vita ya wenyewe kwa wenyewe.
Unajipa moyoMuda wa saa 9 usiku baada ya israel kushambulia gaza hamas nao wakajibu kwa maroketi yalio uwa watu 2 .baada ya kipigo hicho israel imepeleka vifaru karibu na gaza mpaka sasahivi hamas wanautawala uwanja wa vita
Kichapo ilichochezea Israel jana na leo hawatokisahau alaf eti ndio anaenda kupigana na Iran huyuSisi tunawaua TU hatujali kitu
Kuna uwezekano kuwa majeshi watatu wa Israel wametekwa mda huuMuda wa saa 9 usiku baada ya israel kushambulia gaza hamas nao wakajibu kwa maroketi yalio uwa watu 2 .baada ya kipigo hicho israel imepeleka vifaru karibu na gaza mpaka sasahivi hamas wanautawala uwanja wa vita
Mnapenda jifurahishaBREAKING: IDF Jeep hit by Hamas ATGM
Kuna gari la jeshi sasaivi la Israel limepigwa antitank ndani kukiwa na wanajeshi wengi
Daah mkeka wangu umechanika.Ngapi ngapi
Hio sasaivi mpaka wa GazaMnapenda jifurahisha
wenzako wanaweka na link sio unaleta data za kufikirikaBREAKING: 6 IDF members dead after Hamas strike IDF Jeep with Russian made ATGM and others in critical condition Hio sasaivi mpaka wa Gaza
Kwaio FB ni reference
nimeuliza ngapi ngapi??Kichapo ilichochezea Israel jana na leo hawatokisahau alaf eti ndio anaenda kupigana na Iran huyu
Kila siku huwa nakwambia na nitaendelea kuwaambia vita si kitu rahisi kama unavyo fikiri aijalishi ni mpinzani gani unaye kabiliana naye.Kwaio FB ni reference