Suley2019
JF-Expert Member
- Oct 7, 2019
- 1,813
- 4,545
Wanafunzi zaidi ya 400 wa shule ya msingi Ifwagi, iliyopo wilaya ya Mufindi mkoani Iringa, wapo hatarini kuugua magonjwa ya kuhara kutokana na shule hiyo kukabiliwa na changamoto ya vyoo, hali inayowalazimu baadhi yao kujisaidia ovyo vichakani.
Mkuu wa Mkoa wa Iringa atoa majibu, soma hapa chini:
- RC Queen Sendiga ampa wiki mbili DED wa Mufindi kupeleka maji vyoo vya shule ya Msingi Ifwagi
Mkuu wa Mkoa wa Iringa atoa majibu, soma hapa chini:
- RC Queen Sendiga ampa wiki mbili DED wa Mufindi kupeleka maji vyoo vya shule ya Msingi Ifwagi