USSR
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 9,884
- 22,596
Watu wanadaiwa kuwa wanachama wa chama Cha CHADEMA usiku wa kuamkia leo wamejaza maneno ya chuki na kutishia amani kwenye ofisi za CCM.
Maneno Kama 'next is fire get ready ' yamesomeka katika kuta za ofisi za CCM kata ya mashindo.
Chadema mnaifanya dunia ijue nyie kweli ni magaidi kwa mambo Kama haya
My take. Ikitokea mkachoma Moto majengo ya CCM mjue hatutawaacha salama.
USSR
Maneno Kama 'next is fire get ready ' yamesomeka katika kuta za ofisi za CCM kata ya mashindo.
Chadema mnaifanya dunia ijue nyie kweli ni magaidi kwa mambo Kama haya
My take. Ikitokea mkachoma Moto majengo ya CCM mjue hatutawaacha salama.
USSR