Wazo la kabwela
JF-Expert Member
- Feb 13, 2013
- 1,794
- 1,340
Ofisi zingebaki pale pale. Ni maamuzi ya kishamba Sana na ninaamini JAFO aliipokea hii amri kutoka Kwa mwenda zake kishingo upande. Halmashauri nyingi zilibakishwa makao makuu ya wilaya Kwa kuangalia jeographia ilivyo . Kwa ushahidi zaidi angalia jographia ya baadhi tuu ya hizi halmashauri.
Moshi v
Morogoro v
Iringa v
Nzega
Chamwino
Babati v.
Moshi v
Morogoro v
Iringa v
Nzega
Chamwino
Babati v.