Kunguru Mjanja
JF-Expert Member
- Aug 22, 2012
- 2,036
- 3,929
Mahakama ya Hakimu Mkazi imesema Mwenyekiti wa Mtandao wa Wanafunzi(TSN), Abdul Nondo ana kesi ya kujibu katika shauri linalomkabili
Hakimu Mkazi Mfawidhi, Liad Chamshama amesema Mahakama imemuona mshitakiwa ana kesi ya kujibu katika maelezo yake aliyoyatoa kwa Afisa wa Polisi, hivyo anatakiwa kuthibisha ukweli wa maelezo hayo
Aidha, Nondo ataanza kujitetea mahakamani hapo Septemba 18 mwaka huu
Katika kesi hiyo Abdul Nondo anashitakiwa kwa makosa mawili ikiwemo la kutoa taarifa za uongo mitandaoni na kudanganya kutekwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakimu Mkazi Mfawidhi, Liad Chamshama amesema Mahakama imemuona mshitakiwa ana kesi ya kujibu katika maelezo yake aliyoyatoa kwa Afisa wa Polisi, hivyo anatakiwa kuthibisha ukweli wa maelezo hayo
Aidha, Nondo ataanza kujitetea mahakamani hapo Septemba 18 mwaka huu
Katika kesi hiyo Abdul Nondo anashitakiwa kwa makosa mawili ikiwemo la kutoa taarifa za uongo mitandaoni na kudanganya kutekwa
Sent using Jamii Forums mobile app