Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,586
- 217,976
Hivi ndivyo ilivyokuwa .
Mkuu habari za mauaji ya wanachama wa chadema nchini Tanzania hazijawahi kuwa ndefu , wameteswa na kuuawa kama kuku mwenye mdondo kwa miaka mingi bila polisi kufanya lolote , unataka tuandike nini ?Mleta mada haujatutendea haki wasomaji wa uzi. Habari fupi mno
Wamezoea kutunga maskript ya uongo Kama ya kina kingai Sasa wanadhani kila mtu ni mtunga skript.Mkuu habari za mauaji ya wanachama wa chadema nchini Tanzania hazijawahi kuwa ndefu , wameteswa na kuuawa kama kuku mwenye mdondo kwa miaka mingi bila polisi kufanya lolote , unataka tuandike nini ?
Ni mtanzania mwenzetu pole ya sis sote.Mkuu habari za mauaji ya wanachama wa chadema nchini Tanzania hazijawahi kuwa ndefu , wameteswa na kuuawa kama kuku mwenye mdondo kwa miaka mingi bila polisi kufanya lolote , unataka tuandike nini ?