PAMBA1
Member
- Sep 13, 2011
- 55
- 26
nipo katika semina na watu wa AMREF morogoro katika takwimu waliyofanya wametwambia kuwa IRINGA ni mkoa unaoongoza kwa maambukizi ya ukimwi kwa 14.8% na ikifatiwa na DAR ES SALAAM 8.7% ikilinganishwa na takwimu za serikali ya 5.7 ya maambukizi kwa mikoa hiyo hivi sasa imevuka takwimu.