Mrembo Caro D najua we unaupeo! Umeielewa vizuri hii post? Kinachojadiliwa hapa ni msanii na usanii wake si vingingine!Vp we unakipaji?hahaha mwezeshaji kwenye njanja zipi? be clear.
Mrembo Caro D najua we unaupeo! Umeielewa vizuri hii post? Kinachojadiliwa hapa ni msanii na usanii wake si vingingine!Vp we unakipaji?hahaha mwezeshaji kwenye njanja zipi? be clear.
wewe ni MPUMBAVU humu ndani sio lazima kuchangia kila post....unaweza kuanza zako huko..
kafie mbele ,,hii ni forum ya macelebritiz,usinunue ugomvi ambao haukuhusu
This is very low of You..
Where is a Proof that you deserved to name Yourself a Saint?
Tumia busara waombe radhi uliowatolea hayo maneno hapo juu..
Vinginevyo, unadhalilisha Intelligence yako Ndugu..
Anachokuambia Mtakatifu ni kweli, jenga hoja sio kupaniki. Think in 3D not 1D.kafie mbele ,,hii ni forum ya macelebritiz,usinunue ugomvi ambao haukuhusu
jamani huyu mtoto ni mzuri hivi kwanini tumemuachia yule mrundi achukie toto
Wewe ni bogus mara mia zaidi...
- Ya huyo mama yanakuhusu nini kama sio umbea na upashukuna
- Kwani hakichuja au asipochuja wewe inakuharibia nini?
- Nadhani uangalie zaidi upande wako...........kuliko kudandia wake au waume wa wenzio..
Be mweh molamola mbuna una maligo ga leja leja uhuloo!Bite kasupe bwana,Punguza munkari, hapa ni just for relaxing and changing views only.