witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,710
- 47,098
Sinza mori mbele kidogo ya la Chaz...kama unaelekea Jo' Berg hoteli or Wanyama hotel..Baa yake ipo wapi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sinza mori mbele kidogo ya la Chaz...kama unaelekea Jo' Berg hoteli or Wanyama hotel..Baa yake ipo wapi?
Mkuu unatetea ushetaniPombe haina shida yoyote mkuu.
Na pombe na shetani ni vitu viwili tofauti.
Wewe unayekemea pombe leo inawezekana umetoka kusema uongo au kuzini sasa hivi... kwahio usiisingizie pombe chochote na kuna watu wamelala bar jana na leo wanafanya mambo ya kawaida na mazuri zaidi ya wasiokunywa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahio mkuu wewe usiyekunywa pombe ndio utaenda mbingun??
Zitafika dunia kama kijiji nowadays
Iyo ni kwamujibu wa Itikadi yako lakini ktika uislam pombe ni haramuKwahio mkuu wewe usiyekunywa pombe ndio utaenda mbingun??
Pombe has nothing to do with ushetani
Sent using Jamii Forums mobile app
Kakosea sana tena sanaZitafika dunia kama kijiji nowadays
Amekosea sana kwa kweli kuidhalilisha familia na marehemu tena Alhaj
Sent from my SM-G570F using Tapatalk
( يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا إِنَّمَا الْخَمْرُ وَالْمَيْسِرُ وَالْأَنصَابُ وَالْأَزْلَامُ رِجْسٌ مِّنْ عَمَلِ الشَّيْطَانِ فَاجْتَنِبُوهُ لَعَلَّكُمْ تُفْلِحُونَ )alafu iwe mwanzo na mwisho kufananisha pombe na ushetani...alaaaaaaaaaah vipi wewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Ungesema toka mwanzo kwamba 'pombe kuwa haramu' ni imani yako na ningekuelewa mkuu..Iyo ni kwamujibu wa Itikadi yako lakini ktika uislam pombe ni haramu
Rejea kwenye Quran
( يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا إِنَّمَا الْخَمْرُ وَالْمَيْسِرُ وَالْأَنصَابُ وَالْأَزْلَامُ رِجْسٌ مِّنْ عَمَلِ الشَّيْطَانِ فَاجْتَنِبُوهُ لَعَلَّكُمْ تُفْلِحُونَ )
المائدة (90) Al-Maaida
Enyi mlio amini! Bila ya shaka pombe, na kamari, na kuabudu masanamu, na kupiga ramli, ni uchafu katika kazi ya Shet'ani. Basi jiepusheni navyo, ili mpate kufanikiwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
( يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا إِنَّمَا الْخَمْرُ وَالْمَيْسِرُ وَالْأَنصَابُ وَالْأَزْلَامُ رِجْسٌ مِّنْ عَمَلِ الشَّيْطَانِ فَاجْتَنِبُوهُ لَعَلَّكُمْ تُفْلِحُونَ )
المائدة (90) Al-Maaida
Enyi mlio amini! Bila ya shaka pombe, na kamari, na kuabudu masanamu, na kupiga ramli, ni uchafu katika kazi ya Shet'ani. Basi jiepusheni navyo, ili mpate kufanikiwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kufanikiwa kwenyewe ndio kwa kuuza vitu HaramuHaina chochote,roho mbaya tu. Hamtaki mwenzenu afanikiwe. Uwoya piga kazi. Picha za viongozi mbalimbali za Waafrika wakiwemo viongozi wa Mapinduzi ya Zanzibar(wengi Waislam) zipo baa za Samaki Samaki ambazo zinamilikiwa na kaburu,lakini watu kimya.
Mie huwa nawauliza, je tumeishasikia jambazi lolote likikamatwa linasingizia POMBE ndo imesababisha lifanye uhalifu kama wale wazinzi wanaoisingizia ili hali walitamaniana kabla ya kulewa?Pombe haina shida yoyote mkuu.
Na pombe na shetani ni vitu viwili tofauti.
Wewe unayekemea pombe leo inawezekana umetoka kusema uongo au kuzini sasa hivi... kwahio usiisingizie pombe chochote na kuna watu wamelala bar jana na leo wanafanya mambo ya kawaida na mazuri zaidi ya wasiokunywa
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo maana nimemueleza huu ni UCHOCHEZI.hapa ndio nimekudharau kabisa....
baki na imani yako usitake kila mtu aishi kutokana na imani yako inavyotaka
pombe tunapiga na kitimoto tunakula and gues what? at the end of the day mimi na wewe wote tutakufa tu...
shubaaaamit
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu...Sinza mori mbele kidogo ya la Chaz...kama unaelekea Jo' Berg hoteli or Wanyama hotel..
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu, ebu acha maskhara kwenye mambo ya msingi aiseeee....