Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,138
- ukiangalia picha hizo dogo p.diddy, utaona kwamba binti huyo ni mzuri sana wa sura na hiyo ndio sababu ya kuolewa kwake na si kama unavyojaribu kuushawishi dunia; hatudanganyiki acha wivu!
nafikiri utopenda kuona mkeo aama bibi yako akiwa anachafuliwa na watu ovyo ama kuvaa nguo zisizo za heshima so la muhimu ni kumsaidia ajue anachofanya sivyo..pole sana...karibu tena..na wewe nikijua tabia zako wala sitokuacha kukufundisha through JF
watu kama wewe ndio mnamchafua lakini mume wake karidhika an kila kitu kwa mkewe, hii kazi mnasaididana na Mfunyukuzi?
Kila mtu kivyake, mtu anaishi maisha yake, hajakuomba unga, hajatumia hela yako ya kodi, hajakulazimisha umfuatilie, unaanza kumuandama?
Mijitu inayojitia kuwa "holier than thou" ukianza kuifuatilia yenyewe kwenye maisha yao utalia mwenyewe.
wewe kitu gani kinakufanya uone kama alilazimishwa? kwanini mnatoa mapicha huko ili mje muwachambue watu hapa? haipendezi kabisa...hapa ndio namkumbuka Mchungaji Masa sasa.
Heshima mkuu!!!! mkulu wenu anao wangapi? tena hizi zake.Mchungaji Slaa wa Chadema akiona hii kama kawaida yake, atapora !!!!!!!
Nyamayao acha bana picha zije ndio zinachangamsha jamvi!
Nitake radhi dadangu nakuheshimu sana mie nahusikaje kwenye post za mtu mwingine.... please respect me!