Kungwi wa Arusha, Irene Mbowe afiwa na mumewe

mama D

JF-Expert Member
Nov 22, 2010
19,763
35,201
View attachment 1329964View attachment 1329964
20200121_201101.jpg


Binafsi nimekua mfuasi mkubwa wa mwanaharakati na mtumishi na mmiliki wa kituo cha kulelea watoto yatima cha Bembeleza kutoka Arusha bi.

Irene Mbowe.Jana kwa mshtuko mkubwa nimepokea habari za kufariki ghafla kwa mumewe bw.

Sebastian Malya maarufu kama baba Neema au Ice Kyubu.Mpaka sasa familia haijatoa tamko lolote ila kupitia watu wa karibu yao wamepost kuhusu msiba huo. Pole sana dada Irene.Kila nafsi itaonja maiti.Apumzike kwa amani marehemu.
FB_IMG_15796962026791054.jpeg
FB_IMG_15796961981369452.jpeg
FB_IMG_15796961393486815.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 

Attachments

  • FB_IMG_15796813955007839.jpeg
    FB_IMG_15796813955007839.jpeg
    30.2 KB · Views: 9
Back
Top Bottom