emavalery
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 628
- 1,237
Manini meupe, mbona sijakusomaaKwanza wote tayari wako kwenye mananii meupe.. vijana sijui wanashawishikaje kuingia huko! Ujinga mtupu.
Manini meupe, mbona sijakusomaaKwanza wote tayari wako kwenye mananii meupe.. vijana sijui wanashawishikaje kuingia huko! Ujinga mtupu.
Kwa akili yake anaona ni sehemu ya mafanikio kugongwa na Diamond.Kila akienda kwa redio stori ni hiyo hiyo
Tamu sasa mkuuSadala yeye kila demu analamba peku, nyama kwa nyama
Haka ka manzi si ulikuwa unakapelekea moto au umeona ukakane broBora umeuliza wewe. Me ata simjui.
Hahahah tatizo majina. Kanatumia jina ilo stejini?haka ka manzi si ulikuwa unakapelekea moto au umeona ukakane bro
Punguza kuwakaza hadi una wasahau 👴🏿👴🏿👴🏿Hahahah tatizo majina. Kanatumia jina ilo stejini?
Mdogo wake bamboLyn ni nani hapa Tanganyika?
Misifa diamondYaani hapa mjini kila kitu Diamond mbona hivyo jamani?
●Mimba Diamond
●Mziki Diamond
●Hela Diamond
●Malaya Diamond
●Madawa ya kulevya Diamond
Too much jamani tumechoka
Mchawi DiamondMisifa diamond
Roho mbaya diamond
Wivu diamond
Kucopy nyimbo za watu diamond
Nyimbo zisizo eleweka diamond
Mavazi ya kike kuvaa diamond
At kutembea na ***** diamond