Kikwajuni One
JF-Expert Member
- Mar 18, 2013
- 13,142
- 6,947
Salman Rushidie,maradhi aliyonayo,ya kutofunguka vifiniko vya macho ni adhabu tosha.Sio kipofu,lakini vifiniko vya macho havifunguki.
Sent using Jamii Forums mobile app
Zaidi ya miaka 20 ya ofa ya kutaka kichwa cha Salman Rushdie wa Aya za Shetwain bado hawajafanikiwa na wanajua kwa hakika kuwa yupo Uingereza sembuse kichwa cha Rais wa Marekani!
Vv
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app