Mbuyimayi
JF-Expert Member
- Jan 24, 2013
- 575
- 1,147
Sasa umefika wakati wakristo(USA&Uk) wawatwange hawa waajemi wanaovaa vilemba,ili tupandishe bendeera ya myahudi uajemi yote
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa mkuu hivi unafikiri Myahudi ni Mkristo au sababu tu “ Jesus “ ni Myahudi
Unajua Wayahudi wanamchukulia Yesu kama mtu aliechanganya mada na mapokeo (mtu aliekuwa kachanganyikiwa na akachukua mafundisho yao kitofauti) hata mama yake wanamchukulia alikuwa ‘ siyo msafi’ na akazaa mtt nje ya ndoa (Mwanaharamu)
Bendera ya Israel haikusaidii ktk iman yako mkuu hao hawajui Uislam hata Ukristu tena afadhali hata huo Uislam wanaujua kidogo sababu jamii pia ya jirani zake Palestina ni wengi Waislam
Wakristu ktk Israel ni minority
Mambo ya hizi dini sisi wamatumbi dah tuliingizwa chaka na hapa ndo ukamilifu wetu kama binaadam ulipotea kwenye macho ya hawa hatuna chetu