Iraq: Iran yashambulia kwa makombora kambi mbili za Jeshi za Marekani, Ain al-Asad na Erbil

Kama jinsi dola ya Uajemi na Waamedi chini ya mfalme Cyrus ilivyoipiga na kuizima Babylon ya kale, huenda Dola la Uajemi la sasa likaiangusha Babylon ya sasa (Marekani).
Marekani ni Taifa lenye nguvu lakini limekuwa Taifa litendalo ouvu mwingi sana duniani kama vile vita za kuua mamilioni mfano Vietnam, Iraki n. k. Limekuwa Taifa la matendo ya ushoga n. k
Acha blah blah zako.
Unafikiri kuiangusha Marekani ni kitu cha mchezo mchezo. Iran wanajaribu tu, watakachovuna watajuta milele. Siipendi Marekani lakini siwezi kuibeza kwa nguvu zao za kiuchumi, kijamii na kivita. Marekani ni kama maji vile, usipoyaoga utayanywa.

Pia usisahau uwepo wa taifa la Israel leo hii ni matokeo ya kulindwa na Marekani, siku Marekani ikianguka basi ujue na Israel inafutika katika eneo la Mashariki ya kati mara moja.
 
Ushimen Marekani amendoa wananchi wake tu huko Iraq ila wanajeshi wake wapo kama kawaida na ndiyo kwanza wamewaongeza ili kujiandaa kivita, unafikiri Marekan ataweza kuliondoa jeshi lake Iraq? Ili amkabiri Iran akiwa nchi gan ikiwa Saudia ana maslah yake lukuki!

Marekani hakutarajia kama ngome zake zinaweza kufikiwa na makombora Iran, hvi unafikiri hakukuwa na mifumo yakujilinda makombola hapo? Yapo lakin ndo hvo mvua zimepita.

Marekani watutangazie tu wanajeshi wangapi wamekata kamba kama walivyo muua jenerali wa iran.
 
Iran imerusha makombora katika kambi za Wamarekani zilizopo nchini Iraq kama kisasi dhidi ya mauaji ya jenerali Qassem Soleimani.

Wizara ya Ulinzi ya Marekani imesema bado inatathmini uharibifu uliosababishwa na mashambulio hayo kadhaa dhidi ya kambi zake za kijeshi.

"Ni dhahiri makombora haya yamerushwa kutokea Iran na yalilenga kambi mbili za kijeshi", Pentagon imesema.

Hakuna taarifa zozote za walioathiriwa katika mashambulio hayo, huku Pentagon ikieleza kuwa tayari ilikuwa imejiandaa kufuatia vitisho vinavyotolewa na Iran.

=====

Iran fired missiles Wednesday at Iraqi bases used by the US military, officials in Washington and Tehran said, in the first act of the Islamic republic's promised revenge for the US killing of a top Iranian general.

The Pentagon said it was still "working on initial battle damage assessments" after "Iran launched more than a dozen ballistic missiles against US military and coalition forces in Iraq."

"It is clear that these missiles were launched from Iran and targeted at least two Iraqi military bases hosting US military and coalition personnel at Al-Assad and Irbil," the Pentagon said.

There were no immediate reports on casualties but the Pentagon said it had been ready, after days of steadily mounting tension and exchanges of threats of war.

"These bases have been on high alert due to indications that the Iranian regime planned to attack our forces and interests in the region," a spokesman said.

Iranian state television reported an attack on one base housing US personnel, saying it was in response to Friday's killing in a US drone strike of Iranian general Qasem Soleimani, one of the most important figures in the country's government.

Also killed was a top Iraqi commander Abu Mahdi al-Muhandis, who was with Soleimani just outside Baghdad international airport when the US drone struck.

The Iranian Revolutionary Guards announced that the Ain al-Assad base was hit with dozens of missiles, warning that a US counter-attack would be met with an even "more crushing response."

In Washington, US President Donald Trump was "monitoring the situation closely and consulting with his national security team," according to the White House.

Oil prices immediately jumped on the news, with the benchmark WTI spiking more than 4.5 percent to $65.54 a barrel before receding slightly.

- Tension and threats -

The potentially lethal new development followed days of sabre rattling between Washington and Tehran, coupled with growing confusion over the future of US troops in Iraq.

At Soleimani's funeral in Iran, top Revolutionary Guards commander Major General Hossein Salami said Iran would "take revenge."

If further US attacks occur, "we will set fire to what they love," he said.

Trump warned that "if Iran does anything that they shouldn't be doing, they're going to be suffering the consequences and very strongly."

Chanzo: AFP

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kaka kwenye vita huwa hamna cha taifa wala nini, ni kama ukiingia bar na ndugu yako halafu ghafla ugomvi uibuke baina yake na watu humo, hapo ulipo upigwe ngumi, utaingia kwenye ugomvi halafu baadaye ndio utahoji ilikuakuaje.
Mashambulizi ya Iran hayampigi Trump, yanaua wanajeshi Wamarekani, watoto wa Marekani, hapo tegemea full war. Ndio kama ilivyokua kwa Hitler, sio Wajerumani wote walitaka vita ila hapakua na jinsi.
Nenda kwenye mitandao ya kijamii uone Wamarekani, Warusi, Waarab, Wapakistani n.k. wanavyogombana humo, yaani wao tayari walishaanza kupigana full matusi na chuki.
Mbona waziri wa Pakistan alishasema kuwa hataki kujihusisha na hizo vita?

Warusi nao wanagombana na nani?
Tuwekee hizo snapshot ulizoziona huko mtandaoni warusi wakigombana.

Mbona waziri wa Pakistan alishasema kuwa hataki kujihusisha na hizo vita?

Warusi nao wanagombana na nani?
Tuwekee hizo snapshot ulizoziona huko mtandaoni warusi wakigombana.
 
Naona sasa wameamua kutupeleka WW3, IRAN imelipiza kisasi kwa kuvurumusha makombora ya masafa mafupi nchini Iraq dhidi ya Jambi mbili za kijeshi za Marekan zinazohifadhi wanajeshi za NATO..


Kwa ufupi, US na NATO ndio walichokua wanataka.


Russia na China ,hawawez acha Uwekezaji wao nchin Iran uende mikonon mwa NATO...
Dunia ya Sasa Ni vigumu kwa nchi yoyote kupambana na USA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama jinsi dola ya Uajemi na Waamedi chini ya mfalme Cyrus ilivyoipiga na kuizima Babylon ya kale, huenda Dola la Uajemi la sasa likaiangusha Babylon ya sasa (Marekani).
Marekani ni Taifa lenye nguvu lakini limekuwa Taifa litendalo ouvu mwingi sana duniani kama vile vita za kuua mamilioni mfano Vietnam, Iraki n. k. Limekuwa Taifa la matendo ya ushoga n. k
Iran ni kama Tanzania tu.

Atapigwa achakae ndani ya week tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom