dindilichuma
JF-Expert Member
- Dec 19, 2015
- 1,637
- 2,496
Watu wenye imani kali kila kitu huwa kinakua dini.SAFI ..NA HUU NDIO UKWELI...
Mimi sio mtalaamu sana wa Maandiko na Tabiri, Ila katika kujifunza ,
Inaonyesha tupo Juma LA Mwisho la kuishi kwa Mwanadamu.
Hesabu hazidanganyi.
Mwakani tena mtatwambia hivihivi
Sent using Jamii Forums mobile app