Iran's Mosque bomb blast

Mimi bado sielewi kwa ni nini waarabu/waislamu (baadhi yao lakini) wanapenda sana kujilipua na kulipua wenzao wasio na hatia. Nielewesheni jamani-hivi hakuna njia nyingine mbadala ya kufikisha ujumbe mpaka uue watu? Angalia link hii. BBC NEWS | Middle East | Iran: Many die in Zahedan mosque bombing



Buchanan!

Pole sana ! Hii thread inagusa imani za watu!

Please be careful!! Kwanza Waarabu wote sio waislam!! fine?
Sio vizuri kuwahaukumu waarabu wote!
Kwa faida yako na wengine jibu la barbaric actions of the killings is simple just take some time out and galnce at the Muslim Calendar kama sijakosea wako kwenye karne ya 15.

Msicheke go back to history wale ambao hamkusoma pamoja na vijana wa siku hizi ambao wanachagua combination wakiwa darasa sijui la saba au form one tutawaacha solemba.

Katika karne hiyo kulikuwepo na watu kuuana kama mchezo. Just imagine mkigombania mwanamke mnachukua mikuki/mishale au bastola na kulengana anayewahi anashinda ukichelewa kufyatua inakula kwako!

Kwa hiyo sababu ya kujitoa mhanga ni mafunzo tu ya dini kwamba ukifanya hivyo unakwenda ahera moja kwa moja!! Look at the age of the boys and girls its underage!!! Kwaheri!!!
 
Zipo njia nyingi za kufikisha ujumbe.kama unanguvu za kijeshi unaweza kuivamia IRAK ukawauwa waarabu/waislam. Kisha AFGANSTAN halafu Palestina kwa kila moja anatumia njia anayoiyona ina wepesi kwake, kwa hiyo kama ni mjadala basi tuwajadili wote! Hata wale wanao wauwa warabu/waislam kati nchi zao nao pia tuwashangae
 
Yes, tuwajadili wote. Kuna wanaopigania maslahi na wanaopigania vinginevyo.
 
Mimi bado sielewi kwa ni nini waarabu/waislamu (baadhi yao lakini) wanapenda sana kujilipua na kulipua wenzao wasio na hatia. Nielewesheni jamani-hivi hakuna njia nyingine mbadala ya kufikisha ujumbe mpaka uue watu? Angalia link hii. BBC NEWS | Middle East | Iran: Many die in Zahedan mosque bombing

Kwataarifa tu Iran siyo waarabu jaribu kutafiti ni watu gani. Pia si wairan wota ni waislam so hiyo tu inakupa picha kujilipua si uislam wala uarabu bali ni expresion ya oppressed freedom of expression haiangalii ukabila rangi au utaifa bali nia hali ya kukata tamaa kwakutokusikilizwa maoni yako.

Hata kwetu kwanini pamoja na vitendo vyote vya vibaka kuchomwa moto kwanini wanaendelea kuweka rehani maisha yao? Mtu anaiba simu ya sh. 50000 na kurisk maisha yake kwa gharama ya kifo what do u learn there. Kabla ya conclusion jaribu kuwa mtafiti na kuavoid myths ambazo hazina facts.
 
Buchanan!

Pole sana ! Hii thread inagusa imani za watu!

Please be careful!! Kwanza Waarabu wote sio waislam!! fine?
Sio vizuri kuwahaukumu waarabu wote!
Kwa faida yako na wengine jibu la barbaric actions of the killings is simple just take some time out and galnce at the Muslim Calendar kama sijakosea wako kwenye karne ya 15.

Msicheke go back to history wale ambao hamkusoma pamoja na vijana wa siku hizi ambao wanachagua combination wakiwa darasa sijui la saba au form one tutawaacha solemba.

Katika karne hiyo kulikuwepo na watu kuuana kama mchezo. Just imagine mkigombania mwanamke mnachukua mikuki/mishale au bastola na kulengana anayewahi anashinda ukichelewa kufyatua inakula kwako!

Kwa hiyo sababu ya kujitoa mhanga ni mafunzo tu ya dini kwamba ukifanya hivyo unakwenda ahera moja kwa moja!! Look at the age of the boys and girls its underage!!! Kwaheri!!!

Ndugu nakubaliana na wewe kidogo sana ila nakupinga kwa swala la kuwa ni kwaajili ya barbaric character. Hiyo ni kasumba ya weterns kuwa ona wengine wako nyuma kimaeendeleo na kuifanya dunia nzima kuamini maendeleo ni kwa mtazamo wa kiwestern. Rudi kwenye hiyohiyo History utaona kuwa hao unaowaita wako kwenye karne ya 15 ndiyo ambao walikuwa civilised kabla ya hawa unaodhani ndo wameenedelea. Maendeleo ni perception na ukichukulia kwa benchmark ya kiwestern wao watakua nyuma ila ukichukulia ki wao then jua kama dunia yote ingekubali development in their perspective pengine tungekuwa better off ki ustaarabu kuliko sasa hivi. So wazungu waliwazidi kete kwa kumanipulate brain ya watu wengi duniani. Ila utaona wajanja wanaogundua wanaanza kutoka kivyao sisi akina subira ndo tunaenaendelea kuomba kutolewa sasa hata kama ni wewe mwanafunzi alishawahi kumshinda mwalimu wake kwenye mtihani aliotunga huyo MWL? Labda kama ukinihakikishia kuna aliye wahi kupata 150% kwenye exam then hizo 50% ni ujuzi kumzidi mwl.

Iran ni dola ilikuwa inaitwa Persia nayo ilikuwa imestaarabika sana pamoja na Egypt and then Rome kama naikumbuka historia yangu vizuri. Kumbuka Egypt ndiyo yakwanza kuleta technologia ya maandishi na kalenda sasa wewe ukiona kalenda ya wazungu ndo sahihi ukaidharau ya Ethiopia; Nepal; Vietnum na kwingine basi jua wao hawakutawaliwa na wazungu ndo maana thinking yao ina evolve kwenye right direction kuliko yako ambayo ilikuwa interfered na bado hawakupi nafasi ya uhuru wa kufikiri ndo maana wanakuzidi kitechnologia kila mara. Thet know this; thats why they train us so that we can think behind them and become market of their innovations. So we are trained to consume and not to produce. Elewa hilo ukielewa umekombolewa na utajua jinsi ya kujinasua kwenye hii neo colonialism.
 
Kama umetoa malalamiko yako na bahati mbaya hujasikilizwa, kwa nini unaenda kulipua watu wasiohusika sokoni, kwenye basi, msikitini, etc? Si ujilipue peke yako uache wengine waendelee na maisha yao?
 
Kama umetoa malalamiko yako na bahati mbaya hujasikilizwa, kwa nini unaenda kulipua watu wasiohusika sokoni, kwenye basi, msikitini, etc? Si ujilipue peke yako uache wengine waendelee na maisha yao?

Unalipua wanaosaidia hiyo hali kuendelea na kwakuwa unajua hutashinda kesi na wewe unajilipua ili wanaobaki wajifunze na kuwa na better life. Hii ni kwa mtazamo wangu kutokana na matukio halisi si lazima niwe sahihi ila usahii tungeupata kwa wale walio atempt na kupewa fursa ya kuexpress their feelings bila shinikizo. So hiyo ni area to research kama unainterest chukua topic ingia shule.
 
Naona mjadili taarifa bila kuisoma vyema. Hao waliolipua ahuo msikiti ni wakora tu tena inadaiwa ni wauza madawa ya kulevya, hivyo si sahihi kusema habari za kudai haki etc
 
Naona mjadili taarifa bila kuisoma vyema. Hao waliolipua ahuo msikiti ni wakora tu tena inadaiwa ni wauza madawa ya kulevya, hivyo si sahihi kusema habari za kudai haki etc

Alah kumbe then uislam na uarabu ulitoka wapi? Vipi kuhusu hao unaowaita wakora wanawakilisha kundi gani tofauti na waliokata tamaa? Hizo zote ni expression ya something which is never given a chane to be heard at any level being families; society etc or even friends; relatives parents. Msiwachukie viumbe wa Mungu uchukieni uovu ulioingia ndani yao ukifanikiwa kuutoa; huyo kiumbe hana tofauti na wewe; the only difference is u got a better environment which made u be the way u r. Huna cha kujivuna shukuru Mungu saidia wengine wawe kama wewe kama huwezi acha natural course i take place and things will come to equilibrium.
 
Ndugu nakubaliana na wewe kidogo sana ila nakupinga kwa swala la kuwa ni kwaajili ya barbaric character. Hiyo ni kasumba ya weterns kuwa ona wengine wako nyuma kimaeendeleo na kuifanya dunia nzima kuamini maendeleo ni kwa mtazamo wa kiwestern. Rudi kwenye hiyohiyo History utaona kuwa hao unaowaita wako kwenye karne ya 15 ndiyo ambao walikuwa civilised kabla ya hawa unaodhani ndo wameenedelea. Maendeleo ni perception na ukichukulia kwa benchmark ya kiwestern wao watakua nyuma ila ukichukulia ki wao then jua kama dunia yote ingekubali development in their perspective pengine tungekuwa better off ki ustaarabu kuliko sasa hivi. So wazungu waliwazidi kete kwa kumanipulate brain ya watu wengi duniani. Ila utaona wajanja wanaogundua wanaanza kutoka kivyao sisi akina subira ndo tunaenaendelea kuomba kutolewa sasa hata kama ni wewe mwanafunzi alishawahi kumshinda mwalimu wake kwenye mtihani aliotunga huyo MWL? Labda kama ukinihakikishia kuna aliye wahi kupata 150% kwenye exam then hizo 50% ni ujuzi kumzidi mwl.

Iran ni dola ilikuwa inaitwa Persia nayo ilikuwa imestaarabika sana pamoja na Egypt and then Rome kama naikumbuka historia yangu vizuri. Kumbuka Egypt ndiyo yakwanza kuleta technologia ya maandishi na kalenda sasa wewe ukiona kalenda ya wazungu ndo sahihi ukaidharau ya Ethiopia; Nepal; Vietnum na kwingine basi jua wao hawakutawaliwa na wazungu ndo maana thinking yao ina evolve kwenye right direction kuliko yako ambayo ilikuwa interfered na bado hawakupi nafasi ya uhuru wa kufikiri ndo maana wanakuzidi kitechnologia kila mara. Thet know this; thats why they train us so that we can think behind them and become market of their innovations. So we are trained to consume and not to produce. Elewa hilo ukielewa umekombolewa na utajua jinsi ya kujinasua kwenye hii neo colonialism.

Great drop Felister.
I co-sign in everything you have said 103%, your analysis of our perception of being civilised is on point. We tend to look civilization in the western perspective, we think being white is being right and that is where we messed up. Africa and the middle East were the mother of civilization, correct me if am wrong, the study of medicine was at an advanced stage in Egypt centuries ago. The empires of Timbuktu and Kush where all the race came to get books and learn from black people was in Africa.
We should try and free ourselves from the mental slavery, because if we unshackle ourselves, the viscious cycle of poverty in the dark continent, will be history.

sorry for divering the thread, I just had to support a sister.
 
Mimi bado sielewi kwa ni nini waarabu/waislamu (baadhi yao lakini) wanapenda sana kujilipua na kulipua wenzao wasio na hatia. Nielewesheni jamani-hivi hakuna njia nyingine mbadala ya kufikisha ujumbe mpaka uue watu? Angalia link hii. BBC NEWS | Middle East | Iran: Many die in Zahedan mosque bombing


Sio waisilamu tu au warabu wanaofanya mambo kama hao angalia BURUNDI,RUWANDA ,zimbabwe,south afrika tumejionea jinsi watu wetu wenywe wakifanywa BBQ ni akili ya makundi fulani ,hayo mambo yalikuwa yakitokea hata katika nchi ya Ulaya na marekani (KKK)zidi ya watu weusi kuchomewa nyumba ndani kukiwa na watoto na wazee na sio miaka mingi tokea kupunguwa vitendi hivyo.
 
Wakati wa vita kuu ya dunia, Japan walikuwa na kikosi cha jeshi la anga lilikuwa likiitwa KAMIKAZE. Hawa kamikaze ni suicide bombers. Tofauti ni kuwa wao walikuwa wanarusha chombo chao (ndege ndogo) na kujilipua pamoja na adui.
1. Sijawahi kusikia wakijadiliwa kuwa ni barbaric
2. Sijawahi kusikia wakijadiliwa kuwa huko ni kukosa elimu au akili timamu au msukumo dini yao, najua pia walikuwa wanapigania uhuru, imani zao na nchi yao.
3. Sijawahi kusikia kuwa walikuwa na kalenda yao na wako karne nadhani kimamendeleo ya 22!

Tuwajadili!?!
 
Mimi siko worried kama mtu atamlipua adui/mbaya wake whether alipuaye ni kutoka Iran, Burundi au Japan ila tatizo ni pale anapoingia msikitini, kwenye basi, treni, ndege, n.k. kulipua na wasiohusika. Kuna watu Tanzania yetu wanadhani rais wa sasa si mwingine bali ni Nyerere. Imagine mtu wa aina hii alibahatika kupita mitaa ya Dar mwaka 1998 kwa mara ya kwanza maeneo ya uliokuwa ubalozi wa zamani wa marekani uliolipuliwa na kuuwawa. Mtu kama huyu hajui kwamba adui wa Osama/baadhi ya waarabu/waislamu ni Marekani. Huo ni mfano mmoja tu. Hapo sawa kweli?
 
Kama umetoa malalamiko yako na bahati mbaya hujasikilizwa, kwa nini unaenda kulipua watu wasiohusika sokoni, kwenye basi, msikitini, etc? Si ujilipue peke yako uache wengine waendelee na maisha yao?

atleast basi alipue wale wenye kum-oppress!
Pengine kuvaa bomu na kujilipua ni aina yao ya civilization.
 
ramadan-bombathon-2015.jpg
 
Back
Top Bottom