Jackal
JF-Expert Member
- Apr 10, 2012
- 9,545
- 12,658
Achana na hao Ayatollahs kazi kupenda misifa bila kuwa na chochote.Sasa nyie Iran,kama mmeshambuliwa,na Israel,mbona hamjajibu kwa kiwango kilekile,haya matamko wala hayana mashiko,
Maneno matupu hayavunji mfupa,mnasema ndogo iliyotunguliwa sio yenu,thibitisheni tuone uongo wa Israel,
Mpaka sasa HV,mmeshambulia vituo vingapi vya Israel au USA?,nyie waajemi/shia vipi?
Nyie dawa yenu ndogo tu,tunawapambsnisha na Saudia(suni) tu,mtafyata wenyewe mikia