Iran yazindua mfumo wa kisasa wa makombora wa Khordad 15...unapiga mpaka kilometa 150

Kwani stealth zinaonekana siku hizi?
Technology hii bado sio approved opperationally, na ndo maana hakuna stealth yoyote ya marekani inayoingia katika combat duniani kote zaidi ya Ile f 111 iliyodunguliwa mwaka 99 kule Serbia pamoja
mq reaper drone stealth, ambaayo electronically ilishushwa na Iran mwaka 2013 na hivyo kuonesha technology hyo isivyo na uhakika.
S
 
Ukome hiyo tabia ya kuwakashifu waarabu, Muhammad bin Abdillah alieteremshiwa Quran na mafundisho yetu ya Uislam ni muarabu wa kabila la kiarabu la Quraish pia waarabu ndio makabila ya binadamu ambayo yameukubali na kuupokea Uislam kwa zaidi ya asilimia 95 ,waarabu waliuhifadhi,waliuhifadhi na kuupigania Uislam

Na mpaka leo Dunia yote inajua jinsi waarabu walivyo kama nembo ya Uislam. Wao waarabu kukataa kiburi cha Ushia isiwe nongwa , utakuwa unatia aibu sana wewe mtu mweusi ukawakashifu waarabu eti "miarabu''

Muislam damu yake,mali yake na heshima yake ni vitu vitukufu, muarabu ni muislam, ndio maana hata kipindi fulani aliefata tamaduni zisizo za kiarabu ilionekana anajifananisha na wasio waislamu
Pumbaaaaa! Huwezi ukawasifia watu na kuwatia wema TU kwa historia njema ya waliopita! Waarabu was Leo Ni bendera fuata upepo! Imebaki Syria na Lebanon tu.
 
Wabongo akili zetu sidhani kama zipo kichwani.Thread ya lran na u.s.a imeanzieha vita ya uislam na ukristo.kila siku nasema mi ni Islamic lakini sijawahi kuwa mjinga wa kushambulia dini nilizozikuta, ntakuwa zuzu.
 
Kwa hyo wanachofanya waarabu wa saudia under control ya marekani unaunga mkono? Yaani wew huna tofauti na wale wanaokubali wazungu TU kwa sababu waliuleta ukristo. Japo wanafanya PUMBA chungu nzima
HUYO JAMAA ANAELEMENT ZA KISHOGA, YAANI HAONI UNYAMA ANAOFANYA SAUDI KUUWA RAIYA KILA DAY KAMA SI UGAIDI ANAOFANYA NI NN, KILA SIKU ANAWANYONGA RAIA WAKE
 
Mkuu mm si Shia mm ni sunni ila ww ni kafiri unaejiita eti MUISLAMU wakati unashobokea makafiri wenye DAMU za watu
pumbavu hilo halijui hata maana ya uislamu, kazi yao kubwa ni kuwakufurisha watu na kuwaingiza motoni utadhani funguo za milango ya pepo na moto ni mali yao.
 
USA anapoelekea atafeli tu kwanza katengeneza maadui wengi tofauti na Russia au China angalia sasa anashindwa ashikilie wapi,huku vita ya biashara na China,huku middle East nchi kama Iran inamsumbua,North Korea USA ana migogoro kibao na bado hapo hapo anataka uchumi wake ukue zaidi sidhani kama atafanikiwa in long run japo nilipenda azidi ku dominate lakini naona atafeli tu na muda umekaribia kama ni soka dakika ni ya 75.Kumbuka wahenga walisema mshika mawili moja humponyoka.
 
DALILI KUBWA NILIOKUONA NAYO WW NI KUUCHAFUA UISLAM NA KUUGAWA KWA KIGEZO CHA KUJIITA ETI SUNNI, IVI WW UNAJUA MAANA YA SUNNI? UNAJUA MAANA YA UISLAM? UNAJUA KINACHOTOKEA SAIVI DUNIANI?? KAMA WW NI SUNNI NA MUISLAM KWA NN HUPENDI AMANI? KWA NN UNAFRAHIA KUMWAGIKA DAM ZA BINAADAM AWE MUISLAM AU ASIEKUA MUISLAM, UNAJUA KUA UISLAM NI DINI PEKEE ILIKUA NA KIWANGO CHA AMANI CHA HALI YA JUU??
Huyu ni kipofu, kiziwi, bubu halafu hana akili.
Kazi yao kubwa ni kuitukanisha dini ionekane ni dini ya mauji na umwagaji damu isiyo na kheri katika mustakbali wa maisha ya mwanaadamu.
Yaani popote walipo watu wenye misimamo ya huyu jamaa watu wanaodhurika zaidi ni waislamu wenzao, hawa ni fitna aliyoizungumzia mtume (s.a.w).
 
Nyie masalafi msio na insaafu ndio kazi yenu kuwakufurisha watu kwa jinsi mnavyojisikia, kwenu dini ni jazba na chuki.
Allah awaongoze kwa upotovu mlionao katika dini.


Ila wewe Shia ndio muongofu?
 
Huyu ni kipofu, kiziwi, bubu halafu hana akili.
Kazi yao kubwa ni kuitukanisha dini ionekane ni dini ya mauji na umwagaji damu isiyo na kheri katika mustakbali wa maisha ya mwanaadamu.
Yaani popote walipo watu wenye misimamo ya huyu jamaa watu wanaodhurika zaidi ni waislamu wenzao, hawa ni fitna aliyoizungumzia mtume (s.a.w).

Sawa wanywa mikojo ya wale maimam 12 wa shia
 
pumbavu hilo halijui hata maana ya uislamu, kazi yao kubwa ni kuwakufurisha watu na kuwaingiza motoni utadhani funguo za milango ya pepo na moto ni mali yao.

Nani mpumbavu kati ya mimi na wewe ulio katika pote(Shia) ambalo moja ya mambo yake ya dini ni kujichoma visu
 
Back
Top Bottom