Iran yazima jaribio la kushambuliwa shirika lake la nishati ya atomiki na hakuna chochote kilichotokea

Extremists km kimsboy ni watu htr sana, akiwa jirani jitahidi sana uhame, mimi nimeshuhudia jamaa mmoja ameacha kazi ya udaktari huko kagera kaenda kujiunga na kundi la waasi hapo msumbiji eti anaitimiza sunna! Extremists must not be allowed to live
Sema mashoga mnakazi sana, yaani mtu akileta habari humu mnamwita extremists, so na nyinyi mkiitwa mashoga msikatae
 
Extremists km kimsboy ni watu htr sana, akiwa jirani jitahidi sana uhame, mimi nimeshuhudia jamaa mmoja ameacha kazi ya udaktari huko kagera kaenda kujiunga na kundi la waasi hapo msumbiji eti anaitimiza sunna! Extremists must not be allowed to live
Sio poa...kalangalala Geita advance Kuna madogo walikuwa hawahudhurii vipindi wao wanaishi msikitini Tu..wanajitenga Na watu wengine Na sikumoja ikatokea vurugu kumbe wanajifunza karate msikitini kwahyo wakaanzisha vurugu....mwisho wa siku wawili walijiunga alshabaab
 
Hivi kimsboy una maslahi gani na Iran? Kwa nia njema kabisa
Katika nchi ambazo zimepitia wakati mgumu ni pamoja na Iran na Israeli

1>ni nchi ambayo ilikuwa ni Koroni la Muingeleza,baadae ikapigania uhuru wake,ila Uingeleza iliendelea kuinyonya iran kwa mafuta..
Ila wakati kuo Iran ilikuwa inaongozwa kidemocrasia.
Marekan kupitia CIA walifanya mapinduzi na kuingiza Serikali ya kifalme... ambayo iliendesha nchi kwa mkono wa chuma.. toka 1953 mpk 1979 watu karibia 400K waliuliwa au kupotea
Huo mwaka 1979 ndo iran ikafanya mapinduzi na kua jamhuri ya Kiislam ya Iran.. pia kwenye Process waliteka Wamarekan zaidi ya 60, ivyo wakawa mahasim toka kipindi icho..

Ivyo on the process wamekuwa na mahasim wakubwa wawili,Uingeleza na Marekani. Wamepitia kwenye Vikwazo,wamepiganishwa vita na Iraq na walinyimwa siraha na nchi zote dunian,kipindi icho Iraq inasaidiwa na nchi zote dunian mpk Iraq Siraha za Sumu ilipewa ili ishinde na kuondoa huo utawala wa iran.

Ivyo Iran wamepambana/wanapambana kwa upande wao... wamedumu na vikwazo vya uchumi na siraha zaid ya Miaka 40.

2>Israel
Wakati taifa la Israel linaanza pale mashariki ya kati nchi zote za kiarabu zilikataa kuitambua.nao walifanyiwa hujuma kubwa saana.. wamepigana vita kubwa 2 na mataifa yote ya kiarabu pia vita ndogo ndogo nyingi.
Japo wao wanapata msaada toka nchi za Magharibi ila hajabweteka.... wamejiendeleza kwenye Sayansi technology na kijeshi. Ni nchi imezungukwa na mahsimu pande zote.
Ivyo Iran na Israel ukiachana na mambo mengine wamepambana mpk kufikia walipofikia...
Against all odds...
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom