neo1
JF-Expert Member
- Sep 1, 2013
- 577
- 838
Habari toka vyanzo tofauti ni kuwa Iran imetungua drone nyingine ambayo illingia kwenye Anga lake.
Marekani kwa upande wake imesema haijapoteza Drone yake yoyote.
Iran imesema imechukua mabaki ya ile drone kwa uchunguzi zaid!.
Drone ilikuwa inatembea kwa chini sana na iran imetoa video yake.
Taarifa zaid na video
Marekani kwa upande wake imesema haijapoteza Drone yake yoyote.
Iran imesema imechukua mabaki ya ile drone kwa uchunguzi zaid!.
Drone ilikuwa inatembea kwa chini sana na iran imetoa video yake.
Taarifa zaid na video
Iran says it shot down infiltrator drone near key port – not one of ours, US responds
Iranian air defense forces have shot down a foreign drone near the port city of Mahshahr, Iranian media reported, showing alleged footage of the intercept as proof. The US Central Command said it didn’t lose any of its UAVs.
www.rt.com