Iran yasafirisha chakula kuenda Taifa lililotengwa la Qatar

NA WANASEMA WAPO KWENYE MFUNGO MTUKUFU WA RAMADHAN.!!!!!!!
 
Uhusiano wa Kidiplomasia kati ya nchi hizo siyo mzuri toka mapinduzi yaliyofanywa na Ayattollah Khomeini kwa kumuondoa Shah aliyekuwa kibaraka wa USA. Hata uhusiano kati ya Saudia Arabia na Irani siyo mzuri kihivyo tangu 2016. Wewe fuatilia tu au uliza swali lakini usibishe bila kuwa na chochote cha kusindikizia ubishi wako.
Sisi adui yetu nani
 
Waarab kwa asili ni watu jeuri shauri ya mafuta yanayowapa kiburi ndio rasilimali pekee waliyonayo na gesi duniani hivo haya yatapita Ila saudia ni kibaraka wa marekani hafanyi jambo Ila kumridhisha mmarekani yeye ndio kinara wa kuharibu amani mashariki ya kati inasikitisha sanaa msaliti mkubwa maana anajua mmarekani yupo pamoja naye hata jambo likiharibika eneo hilo
 
Wangekufa na njaa hawa pamoja na kuwa ni moja ya nchi tajiri sana duniani. Hawa wa Saudia wana roho mbaya sana. Wangeruhusu chakula kiingie. Halafu wanafanya hivi kwenye mwezi mtukufu! Sasa hizo thawabu watazipata kweli kwa unyama kama huu!?
 
Wangekufa na njaa hawa pamoja na kuwa ni moja ya nchi tajiri sana duniani. Hawa wa Saudia wana roho mbaya sana. Wangeruhusu chakula kiingie. Halafu wanafanya hivi kwenye mwezi mtukufu! Sasa hizo thawabu watazipata kweli kwa unyama kama huu!?
Hawazipati hata kidogo wasaudia ni washenzi sijapata ona ndio maana hata wale makureish enzi za mtume walikuwa jeuri kama hawa mpaka wakataka kumuua mtume wa mwenyezi mungu Ila Allah alimlinda mtume wake wasaliti wakubwa
 
Lazima apeleke maana yeye ndio alikua anapokea hela zao
Ila swali la msingi
Je wataweza wapelekea kila mara?
 
Wangekufa na njaa hawa pamoja na kuwa ni moja ya nchi tajiri sana duniani. Hawa wa Saudia wana roho mbaya sana. Wangeruhusu chakula kiingie. Halafu wanafanya hivi kwenye mwezi mtukufu! Sasa hizo thawabu watazipata kweli kwa unyama kama huu!?
Hahahaaaa,,,,,,thawabu gani wapate kwa kuchinja wenzao,kujilipua
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Na wewe unaamini ni urafiki? Iran hapo kapata kanafasi kuji show off. Yuko kistratejia zaidi; they are trying to send a message to somewhere in an attempt how influecial and powerful they are. Ni nyota ya jaha kwao japo akiachiwa zigo ndani ya miezi 6 analitema hana huo ubavu.
Iran haijaivamia nchi yeyote kwa zaidi ya miaka 200 na pamoja na kuvamiwa na Saddam ilipinga Majeshi ya Marekani kuivamia Iraq lkn kwa watu waliojaxwa chuki hata ifanye njema gani Iran ni mbaya tu,ukiwauliza UPI ubaya wake hawana jibu
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Issue yote ilianza na arab rising baada ya ziara ya kwanza ya Obama pale Egypt na kuhutubia,
baadae ikafuatia weekleak,siri nyingi za wafalme wa arabuni zikawa leaked namna wanavyoibia wananchi etc.
Watu wakaanza kurise hasa kule Tunisia.
Sasa uturuki ni nchi inaongozwa kwa chama ambacho chimbuko lake ni muslim brothehood,
hawa jamaa walikuwa na lengo la kupindua wafalme na watawala wa kidictor na kuweka tawala zao zinazojali raia,
Qatar baada ya kuusoma upepo wakaona ni vizuri wakajiweka upande wa muslim brotherhood ili kuepuka upepo wa arab rising,
kwahiyo wakawa wameenda kinyume na wenzao akina saud,kuwait,UAE,BAHRAIN etc.

Rais wa misri wakati huo akiitwa hosn mubaraka,rafiki wa hali na mali wa mfalme wa saudia na mfalme wa united arab emirate.

Qatar walifinince mapinduzi yaliyomng'oa mubaraka na kumweka mohamed morsi madarakani baada ya uchaguzi,
morsi alikuwa ni muslim brotherhood.

Wasaudia na group wakaweka kinyongo,na haikupita mda saudi na united arab emirate wakamfinince mageneral wa jeshi la misri kumpindua morsi na kumweka ndani,
general al sisi akapiga marufuku muslim brotherhood na kukiita ni magaidi,wengi waliuawa,wengine walifungwa wachache walikimbilia Qatar kuomba ukimbizi.

Hamas chimbuko ni muslim brotherhood,qatar na uturuki wanazifinince,sasa misri hawapatani na hamas sababu ideology yao ni ya muslim brotherhood.

Misri wamewablocked hamas na hawawezi kutoka bila misri kuruhusu,

ila kuna viongozi wa hamas wanaishi qatar.

Lengo la saud ,misri na group ni kuifuta muslim brotherhood kwani ideology yao ni political islam,means kukamata madaraka kupitia ballot box,na hawa wanakubalika na jamii,mfano mzuri ni Hamas alivyoshinda uchaguzi,au endorgan alivyoshinda kule Turkey na hata pia mohamed morsi alivyoshinda huko misri kupitia kura,
kina saud wanaona hawa ni tishia la hatari kuliko hata iran.

Inaendelea
 
Kama nilivyosema issue kubwa ya hii crisis sio iran,
iran ina uhusiano mzuri na Dubai,na hata backdoor ya kukwepa vikwazo vya marekani iran alikuwa anapitishia money transaction Dubai,
dubai imo ndani ya united arab emirate,

iran ina uhusiano mzuri tu na Oman,na majuzi tu walikuwa wanafanya pamoja mazoezi ya Navy,omani ni mwanacha wa nchi za gulf.

Iran wana uhusiano mzuri tu na kuwait na hata abudhabi,
so jiulize kwanini saud hajaerekeza hasira kwa hawa wenzake?,
jibu liko wazi issue ni kundi la muslim brotherhood.

Sasa tukirudi kwa Qatar,baada ya kupinduliwa ghadafi kule libya,
saud walihakikisha wanaweka utawala unaokubaliana nao,yaani ile design ya hardliner kama isis,
inshort wahabiya,
hawakuchukua round Qatar wakafanya manuver na wale jamaa wakaondolewa madarakani na kukimbilia benghaz,
sasa pale libya kuna serikali tatu kama sikosei,
kuna wale wako tripol wako supported na Qatar na Turkey interm of financing etc.

Kuna huyo general khalifa haftar yuko supported na saud,UAE Na hata Russia.
Kundi la tatu kama sikosei ni ISIS,

Wote hapa wanapigania kucontrol nchi ya libya,
kwa mara nyingine tena hapa Saud akaona Qatar kawazunguka na anaendeleza na kampeni za kusimika muslim brotherhood kote mashariki ya kati.

Utaona kuwa hata syria kuna mkono wa saudia,Qatar,USA,

wakati Turkey anasupport free syria army,

saud anasupport isis
qatar anasupport kundi jingine wanajiita moderate,

ni syria tu ambako saud na Qatar hawajagongana lakini hakuna asiejua kuwa mwisho qatar atataka kiongozi atakaendana nae ili aweze kupitisha bomba lake la gase.

Wakati qatar interest yake syria ni ya kiuchumi,wao saud interest yao ni kupambana na shia influence,kwahiyo inaleta mantinki kuwa ISIS watakuwa nyuma yao wako fininced kwa pesa ya msaud
 
Back
Top Bottom