Kutoka wapi au unataka kunilipua 😤www.google.com
Utataka unachokipata mkuu
Kutoka wapi au unataka kunilipua 😤www.google.com
Utataka unachokipata mkuu
Marekani ilidukuliwa uchaguzi?Mkuu mbona marekani alidukuliwa mfumo wake wa uchaguzi? Kudukuliwa ni kawaida maana hata hao israel wana dukuliwa kama kawaida!!
Mkuu mbona marekani alidukuliwa mfumo wake wa uchaguzi? Kudukuliwa ni kawaida maana hata hao israel wana dukuliwa kama kawaida!!
Basi mkuu pokea hio taarifa halafu leta yakoMarekani pia imeshambuliwa mara nyingi hizo issue za hacking (cyber attacks) especially from Russia bro kubalini kataeni Iran is very unique and powerful Asian/Persian/half Arab or Arab state and one of the few complete sovereignty state especially from US and it's allies infuence & imperialism toeni China & Russia Iran inabakia kuwa major threat wa US na its allies acha North Korea ambao wao hawawezi wafikia Iran technologically.
Unadukuliwa mitambo ya vinu vya nyuklia unasema kawaida???? Utakua una kasoro kwenye mbichwa....wajomba wanaweza wakadukua mitambo yako kisha watume mabomu yako yenyewe kulipua miji yako.