Prem 96
JF-Expert Member
- Jul 19, 2019
- 607
- 1,969
hakuna intelligence services ambayo ipo makini kwa 100% ndio maana hata Israel pamoja na kuizunguka Gaza lkn bado kuna silaha zinapenyakama watu wanaingia iran wanaua wanasayansi mchana kweupe kbs ndan ya iran kbs tena barabaran tech gan wanayo waajemi ambayo myahudi haijui na uwenda hata tech za iran myahudi hzo field alshapga ktambo yuko level zngn uko.
Alafu wanasayansi wa iran wanaishi social saana na huwa wanaona ni ufahari kufa shahidi