Usiwai siti ya mbele tume ilisema pia mtambo ulivushwa toka russia.Sasa umepinga nini? Hizo siraha zilitekwa na waasi walipovamia maghala ya silaha uko Donbass sasa Russia anahusika vipi. Yani unataka kusema Russia alifyatua makombora kutungua ile ndege, au unadhani crew ilikuwa imekunywa mbege kama walivofanya U.S mwaka 1988.
Mtambo haiwezekani waasi wakauteka w toka ukraine halafu wakajua kuutumia siku hiyo hiyo,unadhani mtambo ule pikipiki ya boxer.
Waliofyatua ni wa russia wenyewe wakiwa donbass.
Kama lugha haipandi usiangalie CNN angalia TBC1 na Star TV
Sent using Jamii Forums mobile app