KABAVAKO
JF-Expert Member
- Apr 5, 2011
- 229
- 32
Kwa mujibu wa taarifa zilizotangazwa na television ya Jamhuri ya kiislamu ya Iran: press tv. Nchi hiyo imeanza kutengeneza matrector katika nchi hizo kama sehemu ya mchango wake katika kupambana na njaa barani Africa. Baadhi ya watu waliotumia matrector hayo wanasema kuwa yanaviwango vya hali ya juu, ni imara, madhubuti na yenye uwezo mkubwa wa kulima ardhi.