Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 16,897
- 62,562
Hapo Iran imefanya kosa la kiufundi.
Israel ilikuwa haitaki ceasefire, ilikuwa ikitaka mashambulizi dhidi ya Iran yaendelee, lakini ililazimika kusitisha kwa ababu ya Marekani. Sasa imeoata sababu.
Angalia kwenye madhara:
Kombora la Iran kwenda Israel lilidunguliwa na mifumo ya anga, Israel imejibu kwa kuishambulia Iran, na bomu limepiga Iran moja kwa moja bila ya kufunguliwa!
On the ground: Israel is defending against a fresh attack, with CNN’s Oren Liebermann hearing interceptions over Jerusalem. Israel previously struck targets in Iran after intercepting Iranian missiles. Iran, meanwhile, said it was retaliating against Israeli strikes on Beirut.
Iran haijafanya kosa la kiufundi.
Iran ingekaa kimya, Ingepoteza ushawishi kwa Hezbollah. Round hii ya sasa ya mapigano ni muhimu ili ceasefire itakayofuata iheshimiwe na wote!