Iran yaishambulia Israel na kuahidi kuziangamiza kambi za Marekani

Iran yaishambulia Israel na kuahidi kuziangamiza kambi za Marekani

Trump aisihi Iran irudi kwenye meza ya mazungumzo ili kumaliza mzozo.

Ikihojiwa na Fox, Trump anasema inatosha sasa njoo kwenye meza ya mazungumzo.

Nina imani atamwambia Netanyahu asithubutu kurudisha shambulio, au kuendelea na operation yao Lebanon maana kitachofuatia kitakuwa sio kizuri kwa Israel, Marekani, UAE na nchi zote zitazoshirikiana kuichangia Iran.
 

Attachments

  • Screenshot_20260607-224209.png
    Screenshot_20260607-224209.png
    332.5 KB · Views: 7
UAE na Saudi Arabia hii vita hawataki iendelee wamepoteza sana mapato mpaka wanamlaumu US
Ni kweli hii vita inawapa hasara kubwa kuliko faida. Hivyo kama wana akili waombe Marekani iondoe kambi zao katika nchi zao. Na ikikaidi basi wawe wanaipa go ahead Iran ( hata kwa siri) ili izishambulie kambi hizo mpaka ziishe.
 
Dunia ya watu wwnye akili wanajua kabisa HItler wa middle east ni NETANYAU....
Siku zake za kuishi ziliisha dunia itatulia
Hakika mkuu..
 
Ya Iran inafuatilia kila kinachoendelea katika nchi hizo. Atakaetoa ruhusa ardhi yake kutumia basi ajiandae na kiama cha moto wa nyika.
Walichofanya kwenye kambi za us ilikuwa kwao wazungu ni ndoto, hawakuamini kama itawahi kuja kutokea milele

 
Walichofanya kwenye kambi za us ilikuwa kwao wazungu ni ndoto, hawakuamini kama itawahi kuja kutokea milele

Hakika safari hii US wamepigwa na kitu kizito juu ya kichwa chao.
 
Kile ulichokuwa unakifikiria wewe, Iran tayari alikuwa ashakifikiria miezi miwili nyuma. Ila walikuwa wanajiweka vizuri kwa kipindi cha pili ambacho refa hatoruhusiwa kusimama uwanjani.
Walokole siwaoni Echolima1 kajificha kupitia mizimu ya kwao kinyanguku😜😜 waliambiwa msiguse Beirut Netanyahu kajizima Data sasa kajificha
 

Attachments

  • 20260606_174845.jpg
    20260606_174845.jpg
    141.7 KB · Views: 7
Niaje waungwa

Iran huwa hailali na deni, ikiahidi inalipa kwa muda sahihi. Leo hii wanajeshi wa Marekani hawatolala kwenye kambi zao kamwe.

Njia nyingine ya bahari ya Bab el Mandeb kufungwa, na UAE kuchezea kichapo kikali usiku huu.

Hiki ni kisasi cha Israel kuionea Lebanon kama panchi begi la kujifunzia kupiga ngumi.
Kamwe kobazi huwa hamna akili. Sijui mudi aliwafanyaje
 
Back
Top Bottom